Itakuwaje kama Yanga itafuzu Makundi?

Itakuwaje kama Yanga itafuzu Makundi?

Yanga aingie makundi ,alafu tuone itakuaje maana kwenye makundi ili upite lazima uwe wa kwanza au wa pili ,Sina waswas na kuingia makundi kwa upande wa yanga na nataman iwe Ivo ili tuujue ubora wao upo katika angle ipi.
Ni suala la [emoji354] tuu
 
Itakuweje vipi wakati hatafika makundi? Mfano wake ni sawa na watu waseme itakuwaje wewe ukiwa shoga, wakati unajijua huwezi kuwa shoga
 
Una ongea hvyo kama nani

Hao wengne wanafikaje yanga ashindwe
Itakuweje vipi wakati hatafika makundi? Mfano wake ni sawa na watu waseme itakuwaje wewe ukiwa shoga, wakati unajijua huwezi kuwa shoga
 
Itakuweje vipi wakati hatafika makundi? Mfano wake ni sawa na watu waseme itakuwaje wewe ukiwa shoga, wakati unajijua huwezi kuwa shoga
Mkuu hata ww unaweza kuwa shoga hvyo hvyo ulivyo na wadau wakakunyandua kam kawa maana cyo kila shoga unamjua au kumuona mjini alizaliwa vile
 
Mimi nawaombea utopolo wafanikiwe kuingia makundi ili wasiwe free huku premier wanakuwaga na figisu za kipumbavu sana
Mpira sio maradhi kwamba yanahitajika maombi tuachieni timu yetu na nyie mna yenu tena wote tupo kwenye same competitions unaonaje hayo maombi upeleke kwenye timu yako au nyie msha kata tamaa?
 
Timu inavyozidi kushinda ina gain momentum. Yanga ikivuka kwa Hilary nakuhakikishia inaingia nusu fainali.
TUNZA MANENO YANGU
Nusu fainali bila kujali itaangukia kwenye kundi gani na itakaepangwa nae robo fainali? Umeongea kihisia sio fact.
 
Back
Top Bottom