Itakuwaje uwanja wa Yanga au Simba kisha mashabiki wa upande mmoja wafanye vile?

Itakuwaje uwanja wa Yanga au Simba kisha mashabiki wa upande mmoja wafanye vile?

samsun

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2014
Posts
7,386
Reaction score
5,965
Siku zinaenda mbele hazirudi nyuma,ipo siku tu Yanga au simba wanaweza kumiliki uwanja wao,sasa nina swali kwa mashabiki wote humu ndani.

Imetokea siku Yanga ndio wapo uwanja wao wa nyumbani kwa maana ya kwamba ndio wanaumiliki,kisha mashabiki wa Simba ndio wakavunja viti,mageti au kitu chochote kinachohusu huo uwanja na mashabiki wa Yanga wanaona live wanachokifanya mashabiki wa Simba unadhani kitatokea nini hapo uwanjani ............???

Au ndio Simba wapo uwanja wao wa nyumbani kwa maana ya kwamba ndio wanaumiliki, kisha mashabiki wa Yanga ndio wakavunja viti, mageti au kitu chochote kinachohusu huo uwanja na mashabiki wa Simba wanaona live wanachokifanya mashabiki wa Yanga unadhani kitatokea nini hapo uwanjani .............????

KUMBUKA UHARIBIFU UNAOFANYIKA SASA NI VILE WANAONA NI MALI YA SERIKALI,ILA SIKU WAO NDIO WAMILIKI WA HIKO KIWANJA .
 
Vita KAMILI ndo itaanzia hapo
 
Upande wa timu pinzan tunaweka viti ya zege full stop
 
Wajitahidi kufunga kamera ili muhusika ndo awajibishwe
 
Kutatokea civil war Tanzania. Kuanzia uwanjani hadi mitaani.
 
Back
Top Bottom