Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Nchi ya Italia imeazimia kuruhusu safari Juni 3, moja kati ya hatu ya kufungua uchumi baada ya kufunga nchi hiyo kuepuka maambukizi ya #CoronaVirus tangu Machi 9, 2020
Watu wataruhusiwa kutoka mkoa mmoja hadi mwingine. Aidha kuanzia Mei 18 hawatahitaji kuwa na sababu ya kusafiri au kutembea bila vizuizi
Serikali itawaweka karantini kilazima watakaothibitika kuwa na #CoronaVirus na wale watakao changamana nao
Mikusanyiko katika sehemu za wazi itaendelea kuzuiliwa. Italia ni nchi ya tano kwa wingi wa maambukizi ikiwa na jumla ya visa 223,885 na vifo 31,610 vya #COVID19
==
Italy's government has approved a decree that will lift travel restrictions to and from the country from June 3, a major step as the country moves to ease its coronavirus lockdown measures and open its economy.
The decree, published Saturday, gradually eases all restrictions on people’s movements that have been in place since March 9.
Travel bans within the country will be lifted from June 3 and people will be allowed to move from one region to another.
It states that from May 18, people can circulate within the region in which they live, without limitations. They will also no longer need to present a self-declaration, stating the urgency of their travel reasons, at police checks.
However, the government remains authorized to limit travel to and from areas that present a high epidemiological risk.
The government decree confirmed a mandatory quarantine for those found positive with the virus and for those who’ve been in close contact with a person who has the virus.
Large gatherings in public spaces remain forbidden.
Watu wataruhusiwa kutoka mkoa mmoja hadi mwingine. Aidha kuanzia Mei 18 hawatahitaji kuwa na sababu ya kusafiri au kutembea bila vizuizi
Serikali itawaweka karantini kilazima watakaothibitika kuwa na #CoronaVirus na wale watakao changamana nao
Mikusanyiko katika sehemu za wazi itaendelea kuzuiliwa. Italia ni nchi ya tano kwa wingi wa maambukizi ikiwa na jumla ya visa 223,885 na vifo 31,610 vya #COVID19
==
Italy's government has approved a decree that will lift travel restrictions to and from the country from June 3, a major step as the country moves to ease its coronavirus lockdown measures and open its economy.
The decree, published Saturday, gradually eases all restrictions on people’s movements that have been in place since March 9.
Travel bans within the country will be lifted from June 3 and people will be allowed to move from one region to another.
It states that from May 18, people can circulate within the region in which they live, without limitations. They will also no longer need to present a self-declaration, stating the urgency of their travel reasons, at police checks.
However, the government remains authorized to limit travel to and from areas that present a high epidemiological risk.
The government decree confirmed a mandatory quarantine for those found positive with the virus and for those who’ve been in close contact with a person who has the virus.
Large gatherings in public spaces remain forbidden.