Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuzidi kuwaombeaPamoja na hatua zote walizochukua hali bado ni tete sana. Siku ya leo tu watu 919 wamefariki kutokana na corona. Badala ya idadi ya vifo kupungua inazidi kuongezeka kila siku, pls kabla hujalala tumia hata dakika moja kuwaombea kwa Mungu awasaidieView attachment 1401142
Ndani ya mwezi huu watu elfu 23 wamefariki dunia yote.kabisa aisee, yaani unatamani hata kulia ila ndio hivyo tena aisee yaani
JPM angebadiri msimamo kwa muda kuangalia matokeo ya nchi jirani, hii kujiaminisha corona ni kama mafua tunajiweka kwenye riskAisee hatari Sana
.
Hivi kwanini huko ugonjwa unaua Sana pamoja na miundombinu mizuri ya afya waliyo nayo
Ni nini hatma yetu huku pangu pakavu ?
Aisee hatari Sana
.
Hivi kwanini huko ugonjwa unaua Sana pamoja na miundombinu mizuri ya afya waliyo nayo
Ni nini hatma yetu huku pangu pakavu ?
Angebadiri[emoji735]JPM angebadiri msimamo kwa muda kuangalia matokeo ya nchi jirani, hii kujiaminisha corona ni kama mafua tunajiweka kwenye risk
Ametoa maoni yake mkuu, Yuko na haki ya kutoa comment kwenye hii thread. And your stupidity ndo inafanya kukosoa typing error wakati umeelewa alichomaanishaAngebadiri[emoji735]
Angebadili[emoji3514]
Wapuuzi kama wewe mnaniudhi sana, kuandika tu hujui halafu eti unamshauri raisi.
Stupid
raisi = RaisAngebadiri[emoji735]
Angebadili[emoji3514]
Wapuuzi kama wewe mnaniudhi sana, kuandika tu hujui halafu eti unamshauri raisi.
Stupid
Tena mwakilishi wa Mungu duniani na anamamlaka ya kusamehe dhambi.Upuhuzi! Yaani ukawaombee kwa Mungu watu wanaoishi na kaburi la Petro pamoja na kuishi na Papa?