Italy hali yazidi kuwa mbaya: Kabla hujalala tumia walau dakika moja kuwaombea kwa Mungu

Italy hali yazidi kuwa mbaya: Kabla hujalala tumia walau dakika moja kuwaombea kwa Mungu

Walichelewa. Kinachotokea sasa wanaambukizana wenyewe kwa wenyewe hukohuko ndani. Inaonekana wangezembea tena kidogo tu basi baada ya miezi mitatu kina G Sam tungeombwa tukaianzishe upya nchi ya Italy. Wewe msikilize hawafu kama hajaanzisha kaitaly kengine ka Corona hapa Tz.
Italy needs that anyway. Their population is aged. With no children in most of the cases
 
Navyojua mpakasasa bado watanzania wengi wanakufa kwa malaria na ukimwi tufunge neti na kuvaa kondom waungwana.
Wamasai husema, unapotaka dumbukisa nyoka ako imeswe na chungu ya mpensiyo falisha iyo guo ya nyailoni guwo nishing'i miya tuu ....
Italia hawajadili haya walau sisi tuwasaidie watanzania kwa kuyajadili.
 
Ukiona wewe Huna Imani, basi usiwafungie wenye Imani wasimwombe Mungu wao huku ukisubili msaada wa Shetani kuondoa Corona Wakati kila mmoja anaijua kazi ya shetani

Ni kosa kubwa kuzuia watu wa Mungu wasiombe, ndicho kilichofanyika Italy
 
Ili swala limekaaje je watu wanaokufa wanatoka wapi kama watu wamefungiwa ndani na maambukizi kwanini yanaongezeka? inamaana wanaokufa wanatoka wapi? kama wanatoka ndani je usalama wa wale walio nao ndani upoje?
Mnajifungia ndani na mwathirika unategemea nini? Ni sawa na sisi tuseme tunafunga mipaka leo,too late
 
Pamoja na hatua zote walizochukua hali bado ni tete sana. Siku ya leo tu watu 919 wamefariki kutokana na corona. Badala ya idadi ya vifo kupungua inazidi kuongezeka kila siku, pls kabla hujalala tumia hata dakika moja kuwaombea kwa Mungu awasaidieView attachment 1401142
kufungia watu ndani hakuzuwii watu kufaa bali kunaruhusu walio upata kufa au kupona bila kuambukiza watu wengi.
 
Bado sijakuelewa mkuu

Sent using My COVID-19
Naamanisha idadi ya watu walioambukizwa nchini Italy(86498)ni kubwa sana,
ukilinganisha na nchi kama Japani(1499) na Ugiriki (966),zenye idadi ndogo ya maambukizi.
idadi kubwa ya wagonjwa, inaenda sambamba na idadi kubwa ya vifo(ambapo wengi ni wazee).

Note. Kwenye mabano ni idadi ya walioambukizwa hadi kufikia jana usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishu kubwa tulikua tunajadili age na nikakwambia Age ya JAPAN Imeenda Zaidi Ila Hawakupata Maambukizi Navifo Kama ITALY
Naamanisha idadi ya watu walioambukizwa nchini Italy(86498)ni kubwa sana,
ukilinganisha na nchi kama Japani(1499) na Ugiriki (966),zenye idadi ndogo ya maambukizi.
idadi kubwa ya wagonjwa, inaenda sambamba na idadi kubwa ya vifo(ambapo wengi ni wazee).

Note. Kwenye mabano ni idadi ya walioambukizwa hadi kufikia jana usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using My COVID-19
 
WASHA TV yako international news usikie taarifa zao na mahojiano na wahanga wa Corona, ndugu na jamaa zao, hakuna mtu anaongelea kuomba Mungu!!!

Wanaongela vitu kama ku flaten the curve!

Yani mkakati wa hesabu za kisayansi wa ku slow down mlipuko wakati wanatafuta dawa. Nobody is talking about solving a cataclysmic pandemic through prayers!

Waafrika mkoje nyie vichwani ???
Waziri mkuu Wa Italy aliposema...Wamepoteza uwezo Wa Kibinadamu kukabili hili janga,tumaini lililobaki ni Kuomba nguvu kutoka juu,alimaanisha nini?'....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongo
Kuna kitabu kimoja kinaitwa,SATAN BUG,,yaani ukikisoma hicho ndo utajua hatari ya biological weapons,,yaani Bora silaha za kikemikali baada ya kupigwa baadae Hali inakua clear.satan bug kijiko kimoja tu kikiachiliwa,nusu ya wanadamu duniani wanapotea within one month

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BS
hii ndio ile judgement juu ya haya mataifa...wala msihofu, Mungu ana control haya yote, na bado. Hatuna nguvu yoyote Africa ila tutapigana na huu ugonjwa kwasababu Mungu yupo na sisi. Mungu huwa hafurahii uonevu....sasa ameanza kulipa taratibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali zuri sana,ukijibiwa ni tag aisee.Elimu haina mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri Kutengeneza virusi au inzi au popo au kiumbe chochote kama silaha ni biological, chemical weapons ni kama kupuliza sumu ya maji maji, hewa ya sumu au any chemical material inayotoa uhai.
Halafu kuna biochemical weapons. Mfano unatengeneza popo au njiwa wenye virusi ndani then anayekula popo akimkamata akamla anavipata na kuvisambaza.
 
Hadi sasa tarehe 29 March 2020 ni vifo 30888. Hali ni mbaya sana.....
Ndani ya mwezi huu watu elfu 23 wamefariki dunia yote.
Mpaka april 1 huenda dunia yote vifo vikafika 30k+ maana kwa hesabu za haraka watu zaidi ya 1500 huenda kila siku wanafariki.

Sent using Redmi Note 7 Pro
 
Back
Top Bottom