Italy nchi nzuri pengine kupita zote duniani

Italy nchi nzuri pengine kupita zote duniani

Nimekaa miaka sita kwenye Hii nchi hakika ni nchi nzuri mnoo geographical location yake ni katikati ya ulaya watu wake ni wachapa kazi ila pia wapenda starehe mnoo dini kuu ni Roman Catholic

nchi Hii ina hazina ya historia ya kale iliyohifadhiwa vyema pengine kuliko nchi yoyote duniani pia miji yake ina ustaarabu wa kale kuliko nchi yoyote ya ulaya

Jaribu kutembelea miji Hii utaamini nisemayo

Turin
Milan
Genoa
Rome
Cicily

Kisiwa cha Cicily ndipo kundi la mafia lilizaliwa
Miaka sita niliyokaa italia nimejifunza mambo mengi umaskini upo hasa kusini ila kwa ujumla ni nchi tajiri yenye viwanda vingi vikubwa

Waitalia wanapenda Sana ngono hata viongozi wa serikali wanakumbwa Sana na haya makashfa ya ngono rejea kashfa ya dungadunga ya waziri mkuu tajiri Silvio berluscon angalau Romano prodi alikuwa ametulia ukifika Roma usisahau kufikia piaza navona

Karibuni italia
Ukimuuliza changudoa wa kibongo kuwa mzungu gani hafai kufanya nae mapenzi atakuambia muitaliano.Wapo rafu sana katika mapenzi tigo lazima ale akiwa na mbwa atataka umpe na mbwa wake atukuingizia mikono kunako yaani wanasema huwa wanajutia pesa wanazolipwa wakikutana na muitaliano
 
Kwa nini udanganye upo italy halafu unatudanganya watu wazima?
Soma tena nilichoandika Kama kuna sehemu nimesema niko Italy kwasasa njoo uonyeshe humu ndio maana mnafeli mitihani mkuu hamko makini hata mikataba mnasaini kiajabuajbu soma tena nilichoandika halafu uonyeshe ni wapi nimesema niko Italy kwasasa

Italia ni nchi niliyoishi Sana 6yrs pia naenda Sana Karibuni Italia
 
Ukimuuliza changudoa wa kibongo kuwa mzungu gani hafai kufanya nae mapenzi atakuambia muitaliano.Wapo rafu sana katika mapenzi tigo lazima ale akiwa na mbwa atataka umpe na mbwa wake atukuingizia mikono kunako yaani wanasema huwa wanajutia pesa wanazolipwa wakikutana na muitaliano
Ni kweli pia kwa asili ni watu wakorofi na wenye manguvu pia sio wastaarabu saaaaana Kama waingereza wadenish wafinish na wanorway
 
Nilikua huko Ascoli km Zanzibar vile!nilijitahidi kupanda mlimani kule juu kabisa mlimani nikapige picha kwenye sanamu ya yesu nikaishia kati.
Wale watu ni wakarimu sana ila uwe mweusi na umetokea Ulaya otherwise utasoma namba.
Nitarudi tena.
 
Ukimuuliza changudoa wa kibongo kuwa mzungu gani hafai kufanya nae mapenzi atakuambia muitaliano.Wapo rafu sana katika mapenzi tigo lazima ale akiwa na mbwa atataka umpe na mbwa wake atukuingizia mikono kunako yaani wanasema huwa wanajutia pesa wanazolipwa wakikutana na muitaliano

Usemacho ni kweli Chief! Nilifahamu hilo kwa wale wauza mwili wa ukanda wa Nungwi na Shamba ya jambiani! Ni aibu! Some girls walinionyesha mpaka pics walipigwa wakiwa wanafanyiziwa na mbwa + some dudes! Italian men are crazy, dangerous & stupid!
 
Nimekaa miaka sita kwenye Hii nchi hakika ni nchi nzuri mnoo geographical location yake ni katikati ya ulaya watu wake ni wachapa kazi ila pia wapenda starehe mnoo dini kuu ni Roman Catholic

nchi Hii ina hazina ya historia ya kale iliyohifadhiwa vyema pengine kuliko nchi yoyote duniani pia miji yake ina ustaarabu wa kale kuliko nchi yoyote ya ulaya

Jaribu kutembelea miji Hii utaamini nisemayo

Turin
Milan
Genoa
Rome
Cicily

Kisiwa cha Cicily ndipo kundi la mafia lilizaliwa
Miaka sita niliyokaa italia nimejifunza mambo mengi umaskini upo hasa kusini ila kwa ujumla ni nchi tajiri yenye viwanda vingi vikubwa

Waitalia wanapenda Sana ngono hata viongozi wa serikali wanakumbwa Sana na haya makashfa ya ngono rejea kashfa ya dungadunga ya waziri mkuu tajiri Silvio berluscon angalau Romano prodi alikuwa ametulia ukifika Roma usisahau kufikia piaza navona

Karibuni italia
Umesahau kufurahia mji wa Venice au Venezia niliupenda sana nilipoutembelea kwani ni wa kipekee ulimwenguni
 
Nimekaa miaka sita kwenye Hii nchi hakika ni nchi nzuri mnoo geographical location yake ni katikati ya ulaya watu wake ni wachapa kazi ila pia wapenda starehe mnoo dini kuu ni Roman Catholic

nchi Hii ina hazina ya historia ya kale iliyohifadhiwa vyema pengine kuliko nchi yoyote duniani pia miji yake ina ustaarabu wa kale kuliko nchi yoyote ya ulaya

Jaribu kutembelea miji Hii utaamini nisemayo

Turin
Milan
Genoa
Rome
Cicily

Kisiwa cha Cicily ndipo kundi la mafia lilizaliwa
Miaka sita niliyokaa italia nimejifunza mambo mengi umaskini upo hasa kusini ila kwa ujumla ni nchi tajiri yenye viwanda vingi vikubwa

Waitalia wanapenda Sana ngono hata viongozi wa serikali wanakumbwa Sana na haya makashfa ya ngono rejea kashfa ya dungadunga ya waziri mkuu tajiri Silvio berluscon angalau Romano prodi alikuwa ametulia ukifika Roma usisahau kufikia piaza navona

Karibuni italia

Kusini sijui kuna nini? Kila kusini ya nchi yoyote ndio wananchi wake huwa masikini.
Tanzania.
Sudani
Uganda
Kenya
Malawi
N.k
Mikoa yake ya kusini ni masikini
 
Kaka ukiitaja Italy nachanganyikiwa. Mimi naipenda sana timu yao ya Taifa the Azzuri. Siku Ile Baggio anakosa penati na Brazil niliumwa. Mbaya zaidi unapoutaja mji wa Torino au Turin kule Fiat zinapotengenezwa! yule bibi kizee wa Torino anakotokea. Juventus klabu yangu pendwa the Bianconeri Forza Juve! Kwa nini nisipate mvinyo niongeze maisha?
 
Umeniangusha umeusahau jiji la Naples, ukiishi katika mji huo, na usipokuwa mhuni, mtumia madawa, bangi, basi huwezi kuharibika tena katika maisha yako.

Naples ndipo alipoharibika Diego Armando Maradona na kuwa teja mzuri tu.
 
Umeniangusha umeusahau jiji la Naples, ukiishi katika mji huo, na usipokuwa mhuni, mtumia madawa, bangi, basi huwezi kuharibika tena katika maisha yako.

Naples ndipo alipoharibika Diego Armando Maradona na kuwa teja mzuri tu.
sure nimeusahau napoli daaaaaaaa full magangwe pale
 
Back
Top Bottom