Unakatisha vipi tamaa wakati nimesema uende Tanzania Postal Office za eneo/wilaya/mkoa ulioandika address yako!!!????, mfano umeandika delivery address ya morogoro, nenda postal office morogoro, na hata kama sio hapo utapata msaada wa ndani na mzigo wako utaupata.., mbona simple tuuu, au wataka JF ndo ikuletee nyumbani???, jiongeze wakati mwingineShukran kwa mchango wako wenye kukatisha tamaa
Yaishe naona umepanicUnakatisha vipi tamaa wakati nimesema uende Tanzania Postal Office za eneo/wilaya/mkoa ulioandika address yako!!!????, mfano umeandika delivery address ya morogoro, nenda postal office morogoro, na hata kama sio hapo utapata msaada wa ndani na mzigo wako utaupata.., mbona simple tuuu, au wataka JF ndo ikuletee nyumbani???, jiongeze wakati mwingine
Sasa kama adress ni morogoro kwanini waanza jiuliza uende ofisi za wapi?, nenda za hapo morogoro, mzigo wako hauwezi pelekwa zanzibar wala mara, mana unaenda kwenye adress husikaAndres ni Moro
Nipo serious tatizo nataka uhakika wa ofisi ilipo koz yupo mkoani
Kifurush kilikugharimu sh. ngp ukilinganish DHL na FedEx?Shukrani mkuu ila hao dhl FedEx huwa ghal ukilinganisha na Kifurushi chenyewe