Itapendeza Thiery Henry kuwa kocha mpya wa Arsenal?

Itapendeza Thiery Henry kuwa kocha mpya wa Arsenal?

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
_100248892_gettyimages-673981494.jpg

images

upload_2018-3-2_16-21-54.jpeg
 
Ingawa mimi ni city. Kwa ushauri wangu wamchukuwe arteta au kocha anaeifundisha tim ya taifa ya ujerumani kama mnakumbuka w/c aliwanywesha matapishi wale watoto 7-1.

Lakini huyo chogo hana lolote.
 
Ingawa mimi ni city. Kwa ushauri wangu wamchukuwe arteta au kocha anaeifundisha tim ya taifa ya ujerumani kama mnakumbuka w/c aliwanywesha matapishi wale watoto 7-1.

Lakini huyo chogo hana lolote.
Joachim low hana tofauti na Wenger..hafundishi mpira wa kukazana
 
Arsenal haiwezi kuwa na makocha wawili na wenger hatoki pale hadi mauti yatakapo mkuta
 
Ingawa mimi ni city. Kwa ushauri wangu wamchukuwe arteta au kocha anaeifundisha tim ya taifa ya ujerumani kama mnakumbuka w/c aliwanywesha matapishi wale watoto 7-1.

Lakini huyo chogo hana lolote.
Unamwongelea joachim low?? Ivi kwa akili yako anaweza acha timu yake penda ya ujeruman aje kufundisha kitimu cha aseno?? Huoni kama umedharau?
 
Unamwongelea joachim low?? Ivi kwa akili yako anaweza acha timu yake penda ya ujeruman aje kufundisha kitimu cha aseno?? Huoni kama umedharau?
Joachim Low alikwsha kusema baada ya kombe la dunia ana achana na National team...

Real Madrid wanamhitaji

Buyern München wanamhitaji

Arsenal wanamhitaji
 
Back
Top Bottom