ITIKAFU ni nini?

Status
Not open for further replies.
Yule mwandishi wa kile kitabu cha aya za shetani , Suleiman Rushdie alisomewa kitu fulani na yule Ayatollah ili adhurike.Cha kushangaza baada ya wiki chache kafa yeye ayatollah ,lakini Rushdie mpaka leo bado anakula chumvi huku England. kazi kwenu.
 
kama unaweza jua mpaka idadi ya majini anzisha kanisa la kuchimbua majini utatoka kimaisha si unawaona akina Gamanywa, lusekelo na Mama Lwakatare!

baada ya mh kupiga mieleka mfulilizo, watanzania tulitangaziwa kuwa kikwete sasa amewekewa ulinzi wa majini na wole wake atakae mgusa tukaambiwa pia wole wake atakae mpiga atalamba mchanga shibunda akachomoa kuwania kupitishwa kugombea uraisi kupitia ccm na ikumbukwe hakuwahi kukanusha..
 

Na suleyman Rushdie si alisomewa hiyo kitu?baada ya satanic verses lakini hadi leo anakula bata states,mambo ya kutishana tu,kiboko yenu ni yule mtoto wa mbagala tu.
 
Mungu yupi ambaye anaobwa ili aue wengine?

kapitie biblia au qur an..utajua Mungu yupi akiombwa achukue roho ya fisadi kama kweli ni fisadi utaona kama siyo kupooza mambo yake yataenda mlama au kamuulize lowasa
 
kama kweli walimsomea ili afe basi ni dhahiri kuwa hata wenzake wamwaminio mungu mmoja hawamtaki. hivyo badala ya kuja kujigamba hajafa ilimpasa ajikague na kujiuliza wapi kakosea na kujiandaa kujirekebisha.
 
Na al badiri nini mkuu?
Naskia ni uchawi huo..!
 
kama kweli walimsomea ili afe basi ni dhahiri kuwa hata wenzake wamwaminio mungu mmoja hawamtaki. hivyo badala ya kuja kujigamba hajafa ilimpasa ajikague na kujiuliza wapi kakosea na kujiandaa kujirekebisha.
Dunia hii imejaa vigeugeu.Uwe mwema uwe mbaya hali moja..Hata wale wayahudi waliofaidika na miujiza ya Yesu hao hao wakasema msulibishe..
Hata hivyo ni bora uchukiwe kwa kutenda mema kuliko mabaya..Nakuunga mkono ni muda wake mzuri wa kujitafakari je anayotenda ni mema au mabaya mpk aombewe kifo
 
ungejua kuwa Uislam na uarabu ni vitu tofauti usingeandika ulichoandika, Hujui kuwa hata makanisa ya ufufuo Misri yanachimbua majini kwa lugha ya kiarabu


Unachokisema nakijua siku nyingi....lkn ukweli utabaki pale pale huwezi kuutenganisha Uislamu na Uarabu!!
Nilikuwa namaanisha waislamu...hata wa hapa walimsomea sana hiyo makitu G.Bush!! lkn je alikufa?
 
Ni sehemu gani katika bara Arab waarabu waliwaombea marais wa Marekani wafe?

Lakushindwa vita Iraq na Afghanistan ni kweli na umejionea mwenyewe jinsi Marekani anavyoshindwa Afghanistan na Iraq kijeshi, kimorali na KIUCHUMI.

We TV huna! .....
Hiyo yenye red ni kushika makalio na kuyaita kichwa!
 

WAKRISTU nao wana yao inayoitwa NOVENA ya siku SABA
 
Jk anamuomba Yesu siku nyiingiii kabakia jina tuuu
 
Hivi, kabla ya kusoma hiyo sijui FATAKI, si walikaa wakapanga mipango ya hayo mauwaji yatokee vipi... Nao wakamatwe...
 
Sina! nifahamishe ni sehemu gani?

Sina haja ya kumensheni, tuliona dunia nzima bwana...hata hapa kwetu walikutana waislamu viwanja vya mnazi mmoja...kama unataka tarehe siku mwezi....hio sasa shauri yako na ubishi wako wa kwenye mihadhara ya kina Magezi...!!
 
Hahahahaaaaa natamani ingefanya kazi tu.....tungekuwa na siku zetu kadhaaa za maombolezo then hadithi haya haya matatizo matatu kwenye jamii (KJ, KoVu, na MchanaMwema) yangesahaulika na tungeanza upyaaaaaaaaaaa
 
Zile ni dua watu wanasoma. Ni kama Novena katika Kanisa Katoliki,ambayo ni sala ya baraka,inasomwa kila siku,kwa siku tisa mfululizo.
Kwa hiyo kama watu wanakutana kila jiono,wanakuomnbea mabaya,halafu wanarudia tena kesho,wanaendelea wiki nzima,wanaendelea wiki mbili,wanaendela zaidi ya wiki mbili,huo ndio ushirikina,utabakia kumtumaini Mungu kwamba hayo mambo hayana nguvu katika kuathiri maisha yako.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…