ITIKAFU ni nini?

Status
Not open for further replies.
pigia mstari hilo suala,mpaka amelizungumzia ina maana iko hivyo
 
sasa mkuu wakifanya watu wa kanzu mnasema wanaabudu majini wakifanya wavaa magauni haizumzwi sana hili limekaaje
 
WAKRISTU nao wana yao inayoitwa NOVENA ya siku SABA
Hakuna novena ya kumuombea mtu afe au adhurike! Waisilamu hapa hawajasingiziwa, kwani ametamka mwisilamu mwenzao, tena kiongozi wa nchi kuwa katika uisilamu kuna kuombeana kufa, na kwamba yeye ameombewa afe katika misikiti mitatu tofauti. Angeyasema hayo rais mkristu nadhani ijumaa hii kungekuwepo maandamano kuelekea Ikulu
 

Asante sana kwa hii ilmu......huu MUBAHALLAH ni njia muafaka kabisa katika kutatua matatizo kati ya wanadamu
 
non sense,nadhani ameiabisha dini yake,waislam wanazidi kutia aibu.
 
Sina haja ya kumensheni, tuliona dunia nzima bwana...hata hapa kwetu walikutana waislamu viwanja vya mnazi mmoja...kama unataka tarehe siku mwezi....hio sasa shauri yako na ubishi wako wa kwenye mihadhara ya kina Magezi...!!
Ha ha ha kuliwahi kufanyika ITIKAFU katika viwanja vya mnazi mmoja!

Btw nilikuwa nikizungumzia dua ya QUNUUT.
 

japokuwa sifahamu mambo ya itikafu na mengine yanayo fanana na hayo ila nilitaka kusahihisha tu kuwa father Camilius Lwambano hakuwa askofu ni hilo to basi
 
mimi nadhani kama hilo linawezekana kwanini wasiwasomee majambazi wote wanaolisumbua jiji kumbe kuna wataalamu wa hiyo kitu
 
Ha ha ha kuliwahi kufanyika ITIKAFU katika viwanja vya mnazi mmoja!

Btw nilikuwa nikizungumzia dua ya QUNUUT.

Ila mkuu hayo mambo ya kumwombea mtu mabaya hadi yampate...sio ushirikina kweli?...Tuthibitishea kuwa majibu yanatoka kwa Mungu wa kweli?
 
Na suleyman Rushdie si alisomewa hiyo kitu?baada ya satanic verses lakini hadi leo anakula bata states,mambo ya kutishana tu,kiboko yenu ni yule mtoto wa mbagala tu.

Anakula bata? hivi sasa ni kipovu anaishi katika jumba la malkia fuatilia habari ujue
 
Kama ITIKAFU ingekua inafanya kazi ingeanza na Mafisadi kwanza. Acheni kumtisha Rais wetu after all anaongoza Taifa lisilo na dini "Circular State".

Rais wetu usiogope sisi raia na wananchi wako tunakuombea Kinga kutoka kwa Mungu aliyeumba hata hao wasomi wa Itikafu usiku na mchana.
 
Anakula bata? hivi sasa ni kipovu anaishi katika jumba la malkia fuatilia habari ujue

Na yule Rais mstaafu wa Zanzibar aliyepoteza uoni mlimsomea pia? Acheni hizo watu wanapata matatizo kwa amri ya Mungu na umri wao kufika hata wewe usijekuta leo unalala mzima kesho unaamka vingine, acheni kutishana sote ni wapitaji hakuna mkaaji milele.
 
Ila mkuu hayo mambo ya kumwombea mtu mabaya hadi yampate...sio ushirikina kweli?...Tuthibitishea kuwa majibu yanatoka kwa Mungu wa kweli?
Sio ushirikina.

Ama kuhusu kumuombea mtu mabaya hili linataka upambanuzi:
Mtume salalahu alayhi wasallam anasema (tafsiri): Dua ya mja hukubaliwa maadamu katika dua ile haombi mambo ya madhambi na kuvunja undugu..." sahihi Bukhari

Vilevile mwenye kudhulumiwa anaruhusiwa kuomba dua dhidi ya aliyemdhulumu.

...funguka zaidi katika swali lako.
 
Itikafu ni "kujifunga" ....kilugha

Ama kisheria, itikafu ni kujifunga katika sala na ibada nyengine katika kumuomba Muumba

Ombi hilo linaweza kuomba ubarikiwe afya, mji upate mvua, na mengineyo

Kwahiyo hata Mukulu haijui imani yake.
Maajabu. Mbona hujamsaida?!
 

Kwahiyo Jakaya, rais wetu amewakosea nini hao waliotaka kum restisha inpisi?
 
Kwahiyo Jakaya, rais wetu amewakosea nini hao waliotaka kum restisha inpisi?
Kwa kweli mimi binafsi sina taarifa zozote za watu kukaa Itikafu na kumuombea JK afe.

Itikafu ni ibada inayofanyika siku 10 za mwisho wa mwezi wa Ramadhan kama ulivyofahamisha huko nyuma.
 

ni tofauti na albadiri?
 

Japo huyo uliemnukuu mie simwamini kabisa!...
Ila naomba niuleza swali, kumwombea mtu kifo..sio kati ya haya? (ile haombi mambo ya madhambi na kuvunja undugu)
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…