NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
pigia mstari hilo suala,mpaka amelizungumzia ina maana iko hivyoMbona ajafa sasa, kwa maana hiyo we dont need to worry what such nonsensical ritual entails, huyu Mr.President na hizi irrational thinking zake wakati mwengine, no wonder ghorofa lina anguka we unasema kazi ya mungu how about uzembe?
By the way muhusika huko angani kama unapita kuchunguliaga JF im only joking, we una nguvu lakini si hawa masheikh uchwara wanaotaka kukufanyia kazi yako ya kuchukua roho ya mwanadamu, ajabu yenyewe Mr President kaogopa ama nayeye mshirikina.