DOKEZO Itilima, Simiyu: Watumishi Ajira Mpya Itilima hatujalipwa fedha za kujikimu

DOKEZO Itilima, Simiyu: Watumishi Ajira Mpya Itilima hatujalipwa fedha za kujikimu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

KwetuKwanza

Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
82
Reaction score
150
Juzi watumishi Kada ya ualimu na Afya katika Wilaya za Rombo na Sikonge walilalamika kutolipwa stahiki zao ambazo ni fedha za kujikimu.

Hivyo hivyo kadhia hiyo imetukumba sisi watumishi katika Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu, ambao ni wapya, tunalalamika kutolipwa fedha zetu toka mwezi Juni, 2023 walipiajiriwa.

Uongozi wa Halmashauri, Umeshindwa kutulipa stahiki zetu, tumekuwa tukiulizia kwa wahusika na kuhaidiwa kuwa watapigia simu malipo yakiwa tayari.

Baada ya kuripoti Halmashauri, tuliambiwa twende Moja kwa Moja vituo vya kazi, na malipo ya fedha ya kujikimu tutalipwa baadaye, lakini toka mwezi Juni, 2023 hatujalipwa, na hakuna Majibu yeyote yanayoashiria kuwa tutalipwa

Mpaka sasa hakuna mwekekeo wa uhakika unaonyesha kama tutalipwa stahiki zetu, au ndiyo tumedhulimiwa, walisema turipoti kwanza kwenye vituo vyetu, Kisha malipo yatakuja ndani ya muda mfupi, lakini mpaka leo hakuna mwelekeo wa hayo malipo.


Pia soma: Watumishi Ajira Mpya (Sikonge na Rombo) hatujalipwa Fedha za Kujikimu, tunapigwa danadana

Waziri Mchengerwa aagiza Fedha za Kujikimu za Ajira Mpya zilipwe kabla 30 Oktoba, 2023
 
Juzi watumishi Kada ya ualimu na Afya katika Wilaya za Rombo na Sikonge walilalamika kutolipwa stahiki zao ambazo ni fedha za kujikimu.

Hivyo hivyo kadhia hiyo imetukumba sisi watumishi katika Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu, ambao ni wapya, tunalalamika kutolipwa fedha zetu toka mwezi Juni, 2023 walipiajiriwa.

Uongozi wa Halmashauri, Umeshindwa kutulipa stahiki zetu, tumekuwa tukiulizia kwa wahusika na kuhaidiwa kuwa watapigia simu malipo yakiwa tayari.

Baada ya kuripoti Halmashauri, tuliambiwa twende Moja kwa Moja vituo vya kazi, na malipo ya fedha ya kujikimu tutalipwa baadaye, lakini toka mwezi Juni, 2023 hatujalipwa, na hakuna Majibu yeyote yanayoashiria kuwa tutalipwa

Mpaka sasa hakuna mwekekeo wa uhakika unaonyesha kama tutalipwa stahiki zetu, au ndiyo tumedhulimiwa, walisema turipoti kwanza kwenye vituo vyetu, Kisha malipo yatakuja ndani ya muda mfupi, lkn mpaka Leo hakuna mwelekeo wa hayo malipo.
 

Attachments

  • 613EC691-106B-48E7-B5F0-C4923FEB903B.jpeg
    613EC691-106B-48E7-B5F0-C4923FEB903B.jpeg
    103.8 KB · Views: 7
Back
Top Bottom