Tena unajiweka namba 1 ,2 na tatu[emoji1]Mimi nimemshangaa kwakweli tukisema hana exposure msanii wenu mnakuja kututukana humu mbona haya mambo yapo sana duniani huko hata mbele wasanii wanarank wasanii wanaowapenda wao wakiulizwa hili swali,ningekuwa mimi nisingewajibu hao kina Talle badala yake ningeweka list yangu na mm halafu ningejiweka namba moja mbona simple tu jamani
Ikiwezekana amwambie na yy meneja wake aweke list yake tano bora awape wasanii wote wa Kings.Tena unajiweka namba 1 ,2 na tatu[emoji1]
🤣🤣🤣🤣🤣Ikiwezekana amwambie na yy meneja wake aweke list yake tano bora awape wasanii wote wa Kings.
🤣🤣🤣🤣🤣Alikiba ana tabia za kike kweli . Mbaya zaidi hata wanawake hawalii hivyo.Hapo kapendelewa kuwa hiyo nafasi ilitakiwa awe nafasi ya 10.
Kiba yupi unamzungumzia? Kiba nAlikiba siku hizi asikiki hata ngoma anazotoa haziendi kama zamani ndio maana kaona aseme jambo ili nae atrending
Hebu tupia video moja humu ya show zake za kuingiza B1 kwa siku Leta Vidio Mzee BabaKiba yupi unamzungumzia? Kiba n
Yuko katika kilele Cha mafaniko ya kimuziki kuliko kipindi chochote kilichopita. Album yake imefanya vizuri sana mwaka huu hasa katika streams mitandaoni.
Kapiga shoo kubwa ugenini zilizomwingizia so chini ya B1 kwa siku karibu 10 alizokaa Marekani.
Jamaa kanishangaza Sana aisee alafu Unaweza kukuta huyo jamaa ni degree holderHebu tupia video moja humu ya show zake za kuingiza B1 kwa siku Leta Vidio Mzee Baba
🤣🤣🤣🤣🤣Kibakuli nae😂😂
Huo uchawa wako dah! UmezidiKiba yupi unamzungumzia? Kiba n
Yuko katika kilele Cha mafaniko ya kimuziki kuliko kipindi chochote kilichopita. Album yake imefanya vizuri sana mwaka huu hasa katika streams mitandaoni.
Kapiga shoo kubwa ugenini zilizomwingizia so chini ya B1 kwa siku karibu 10 alizokaa Marekani.
Inawezekana Bil 1 ya ZimbabweKiba yupi unamzungumzia? Kiba n
Yuko katika kilele Cha mafaniko ya kimuziki kuliko kipindi chochote kilichopita. Album yake imefanya vizuri sana mwaka huu hasa katika streams mitandaoni.
Kapiga shoo kubwa ugenini zilizomwingizia so chini ya B1 kwa siku karibu 10 alizokaa Marekani.
Unataka jamaa akuchokonoe nawewe?Alikiba ana tabia za kike kweli . Mbaya zaidi hata wanawake hawalii hivyo.Hapo kapendelewa kuwa hiyo nafasi ilitakiwa awe nafasi ya 10.
Ali hana sababu ya kugombana na mtu mbona kila mtu anajuwa yeye ndo [emoji1780] [emoji146] king
AjikuteAli hana sababu ya kugombana na mtu mbona kila mtu anajuwa yeye ndo [emoji1780] [emoji146] king