Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Pole bora umeamua kumuacha angekuuwaUndugu hata ukiukana bado huyo ndugu katika viasilia atabakia kuwa ndugu yako .
Upande wa mke , huyu ni rafiki , urafiki huwa unakufa na kuzaliwa upya na kuna kupata marafiki wapya ,hivyo si vyema kuumia na rafiki asie mwema .
muwe na siku njema .
Mke ni rafiki mkiwa hamna watoto. Mkishazaa tu nyie ni ndugu. Undugu wenu unaunganishwa na watotoUndugu hata ukiukana bado huyo ndugu katika viasilia atabakia kuwa ndugu yako .
Upande wa mke au mume , huyu ni rafiki , urafiki huwa unakufa na kuzaliwa upya na kuna kupata marafiki wapya ,hivyo si vyema kuumia na rafiki asie mwema .
Labda kama kuna mawazo mengine
muwe na siku njema .
Inategemea. Kuna kaka yangu aliachana na mkewe, ni miaka 10 sasa hawana mawasiano. Mtoto mmoja niko naye mwingine yuko na baba yake. Hakuna cha undugu wala nini , mkishaanachana either muwe maadui au mbaki wazazi tu.Mke ni rafiki mkiwa hamna watoto. Mkishazaa tu nyie ni ndugu. Undugu wenu unaunganishwa na watoto
Certified friendUndugu hata ukiukana bado huyo ndugu katika viasilia atabakia kuwa ndugu yako.
Upande wa mke au mume, huyu ni rafiki, urafiki huwa unakufa na kuzaliwa upya na kuna kupata marafiki wapya, hivyo si vyema kuumia na rafiki asie mwema.
Labda kama kuna mawazo mengine.
muwe na siku njema.
Kamwe ndg yako huwezi kumuoaMke ni rafiki mkiwa hamna watoto. Mkishazaa tu nyie ni ndugu. Undugu wenu unaunganishwa na watoto
Naunga mkono hojaMke sio rafiki, mke ni mpenzi, mke ni romantic partner, ukianza kumuona ni rafiki ujue upo kwenye hatua za awali za kunyimwa unyumba
Ukisikia yalaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Kama hupigi umbea na mkeo mtoe kwenye urafikiUndugu hata ukiukana bado huyo ndugu katika viasilia atabakia kuwa ndugu yako.
Upande wa mke au mume, huyu ni rafiki, urafiki huwa unakufa na kuzaliwa upya na kuna kupata marafiki wapya, hivyo si vyema kuumia na rafiki asie mwema.
Labda kama kuna mawazo mengine.
muwe na siku njema.