Me huwa naliandika kwa herufi kubwa zote. Yaani MUNGU.Hongereni, ila siku nyingine jina la Mungu huanzishwa na herufi kubwa, hili kosa nimeliona kwa wanaJF wengi humu.
Hongera kwenu, Mungu awajaalie mama na mtoto afya njemaHabar wana jf
Tunamshukuru mungu anaendelea kutupigania
Finally usiki wa kuamkia leo wife amejifungia na tumepata mtoto wakiume na wote wakosalama mama na mtoto tunashukuru mungu View attachment 2617780
Kwa heshima yenu pia wote nawapa nafasi ya kumchagulia jina ambalo atapewa na pia naimani ntamlea katika misingi ya ki JF nabaada ya miaka kadhaa nitahakikisha anakuja kuwa member wa JamiiForums Asanteni karibuni wote
Comeooon!!!!!!Hongera kwenu nyote mkuu,
Natoa matatu km kawaida yangu Baba mdogo wa JF mtoa majina nakupa matatu
Colin
Desmond
Carson
Chagua 1 hapo mpe akue nalo huyo hustler mpya wa dunia
Big up mi General, preach to di yute dem 👊Certified quality ,A dat de gyal dem need and a cry for everyday without apology,Buck dem de right way, dat a my policy.
Hongera Sana.
Nakushangaa wewe sijui unakwama wapiNadhani ni muda muafaka sasa na wewe upate ubavu uanze kutema mate na kula embe mbichi.
au litutumbwe [emoji23]
Au Zee Korofiau litutumbwe 😂
Baba Kachanga Dp yako inanikumbusha King D Davet
Big up mi General, preach to di yute dem 👊
Gaza or Gully Side mi don?? 😁 or real badman like NinjaMan?Big tingz a gwaan.
😂😂😂