Strictly Syrup
JF-Expert Member
- Aug 4, 2013
- 1,227
- 1,818
Safi ndugu, kila la heri.Shukrani sana mkuu nimekuelewa vyema wacha tumlee kama ulivyo agiza mkuu
Huyo ni shemeji yako😁😁Huyu mtu ataniharibia sana😁
🤣🤣🤣Hapana,atakuwa tu sawaatakosa marafiki shuleni 😂
Umeniangusha tu hapo ulipoonesha kuwa majina ya mbuga zoote tulizonazo umekosa jina zuri hata la eneo mojawapo au mnyama,ndege wala mdudu na unataka sisi ndo tukuchagulie.Habar wana JF
Tunamshukuru Mungu anaendelea kutupigania Finally usiku wa kuamkia leo wife amejifungia na tumepata mtoto wakiume na wote wako salama mama na mtoto tunashukuru Mungu
View attachment 2617780
Kwa heshima yenu pia wote nawapa nafasi ya kumchagulia jina ambalo atapewa na pia naimani ntamlea katika misingi ya ki JF nabaada ya miaka kadhaa nitahakikisha anakuja kuwa member wa JamiiForums Asanteni karibuni wote
hatojiamini.... watakua wanamtania na walimu watamzoea haraka, fimbo atakula sana 😂🤣🤣🤣Hapana,atakuwa tu sawa
Kwa heshima yenu pia wote nawapa nafasi ya kumchagulia jina ambalo atapewa na pia naimani ntamlea katika misingi ya ki JF nabaada ya miaka kadhaa nitahakikisha anakuja kuwa member wa JamiiForums
Last period na EDd ilikua lini 😁😁😁😁Habar wana JF
Tunamshukuru Mungu anaendelea kutupigania Finally usiku wa kuamkia leo wife amejifungia na tumepata mtoto wakiume na wote wako salama mama na mtoto tunashukuru Mungu
View attachment 2617780
Kwa heshima yenu pia wote nawapa nafasi ya kumchagulia jina ambalo atapewa na pia naimani ntamlea katika misingi ya ki JF nabaada ya miaka kadhaa nitahakikisha anakuja kuwa member wa JamiiForums Asanteni karibuni wote
Hivyo ndio boy anatakiwa kuwa....Sio boy mzembemzembehatojiamini.... watakua wanamtania na walimu watamzoea haraka, fimbo atakula sana 😂
😅😅😅😅……[emoji23][emoji23] pacha bhana
Achana na hili la JF mzee ninajina adhimu sana ambalo lingemfaaShukrani sana mkuu
Tumuite [mention]Zimba XXV [/mention] Ausio mkuu [emoji23][emoji23]