Its boring...

Its boring...

Sabry001

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2011
Posts
1,064
Reaction score
354
Kuona watu wanaweka post zao hapa wanatafuta wenza wa maisha halafu wengine wanazifanyia mizaha. Walioweka kipengele cha love connect kwa ajili ya kutafuta wapenzi na friends; na kile cha chit chat cha kufanyia utani hawakuwa wajinga. Mnajijua na nadhani nyie ni watu wazima na kama nyie mnadhani huwezi pata mpenzi wa kweli jf basi huo ni mtazamo wenu bakini hvo na muwaachieni wenye kuamini kuwa watapata waendelee kuliko kuwakebeh na kukatisha tamaa! MNABOA KWELI JAMENI! Kha!
 
Hamia airtel

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nitafute nikupe mbinu za kuwa famous hapa Jf.
 
Kuona watu wanaweka post zao hapa wanatafuta wenza wa maisha halafu wengine wanazifanyia mizaha. Walioweka kipengele cha love connect kwa ajili ya kutafuta wapenzi na friends; na kile cha chit chat cha kufanyia utani hawakuwa wajinga. Mnajijua na nadhani nyie ni watu wazima na kama nyie mnadhani huwezi pata mpenzi wa kweli jf basi huo ni mtazamo wenu bakini hvo na muwaachieni wenye kuamini kuwa watapata waendelee kuliko kuwakebeh na kukatisha tamaa! MNABOA KWELI JAMENI! Kha!

Kwani ulitaka mchuchu na watu kufanya mzaha...? Pole...
 
Kuona watu wanaweka post zao hapa wanatafuta wenza wa maisha halafu wengine wanazifanyia mizaha. Walioweka kipengele cha love connect kwa ajili ya kutafuta wapenzi na friends; na kile cha chit chat cha kufanyia utani hawakuwa wajinga. Mnajijua na nadhani nyie ni watu wazima na kama nyie mnadhani huwezi pata mpenzi wa kweli jf basi huo ni mtazamo wenu bakini hvo na muwaachieni wenye kuamini kuwa watapata waendelee kuliko kuwakebeh na kukatisha tamaa! MNABOA KWELI JAMENI! Kha!

Hasira za nini sasa mkuu,kama yupo yupo tu
 
Back
Top Bottom