CHADEMA ni chama cha Lowassa?,
Aiseee........kumbe ni Mali ya Mh..Unauliza Mbege Rombo?
Impact ya Lowasa nimeiona katika kuiondoa Chadema kutoka kwenye falsafa kupinga ufisadi na kuifanya kuwa agent wa kutetea ufisadi.mkuu ulitakaje mkuu? ina maana bado hujaona impact ya Lowassa katika UKAWA? you must be lunatic!
Una siku haujaachia nondo zako.Habari ndiyo hiyo.
Nikumbushe lbd ww unakumbukumbu nzr otherwise shut upkwa hiyo kumbe hamjawahi kumsifu kwa lolote? acheni UNAFIKI wa KIKE mkuu.
Una siku haujaachia nondo zako.
.....
Nmekudharau sana . sikutegemea kama huna akili kiasi hiki...Amini usiamini baada ya ziara ya lowasa,bunge litaanza kurushwa laivu na sukari itapatikana,wafanyakazi wataacha kutukanwa,pesa itaonekana mtaaani......njoo leigwanani njooo uwaonyeshe utawala bora....sukari elfu nane leigwanani usikae kimya..
Amshaamsha ianze sasa
Huku kwetu sukari hakuna kabisa......nimezunguka ka wilaya kazima kumbe sukari ina ka umuhimu kake@Nahangaika kutafuta Sukari kwanza.
mkuu, nashangaa sana uzi wa siasa umekuwa merged na uzi wa michezo. hv hawa Moderators wa JamiiForums wasipounganisha nyuzi hawajisikii? mkuu Maxence Melo hawa vijana wako mbona wanaingia kazini wakiwa wamelewa? kwanini usiwakitwanga?Uzi huu mbona kama umevamiwa na siasa za maji taka, acheni ukuda rejea uzi unasemaje.
mkuu, huyu mzee ni KICHWA wewe acha tu.Silent killer na mipango mathubuti namkubali sana huyu mzee akili kubwa hio.
mkuu, huyu mzee ni KICHWA wewe acha tu.Silent killer na mipango mathubuti namkubali sana huyu mzee akili kubwa hio.