mkuu, hizi nyuzi zimeunganishwa na Moderator aliyeingia shift akiwa AMELEWA. pacha wa KITWANGA wapo kila mahali.Tz bana tunapenda sana siasa japo hazitupendi lowasa hadi michezoni hii nyota kali sana sijui kaitoa wap kila mahali anachomoza had hapa
rudin ktk mada wazee wa politics.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahaha hatar mkuu.
Si ndo mto wa mbu...anapima kina cha maji...mambo ya 'uwanja wa nyumbani'....angeanzia Mwanza au Tanga kwenye matetemeko na watu kuzimiaHapana mkuu ameanzia yale maeneo mumeo anakofanyia biashara zake za genge
Acha kabisa mkuu natamani anko magu waache itikadi amtumie huyu mzee katika mipango nchi. Huyu ndo anafit kwenye ujasusi wa kiuchumi na viwanda hii ni hazina sema serikali haijagundua inaendeshwa na pumzi ya ushikaji.mkuu, huyu mzee ni KICHWA wewe acha tu.
Unakosaje imani na kocha mwenye trophies 24 asee ndani ya miaka 12Sina iman na huyu mreno kabisa.
Utakuwa msimu mtamu sanaView attachment 349729
Makocha ambao watangaliwa na kufuatiliwa kwa ukaribu sana msimu ujao katika EPL ni hawa wawili....naamini msimu ujao utakuwa msimu bora kutokea katika EPL
uhodari wa mourhino kwenye SOKA ni sawa kabisa na uhodari wa Lowassa kwenye SIASA. ndio maana Moderator kaamua kuunganisha hz nyuzi. asante sana baba Moderator kwa kutambua mchango wa Lowassa kwenye siasa za Tanzania.Khee[emoji45] [emoji15] [emoji15] mbona uzi haulandani na maudhui ya head line na uchangiaji. Moderator fanyeni mambo bwana mbona mmeunganisha uzi mbili ndani?
Au ndo stoper na mtu mbili ndani ya track moja teh teh.