Its my birthday!! Karibuni tusherehekee

Its my birthday!! Karibuni tusherehekee

Happy b/day mkuu

Hongera Mkuu!Mungu akupe miaka mingi zaidi na heri duniani.

Happy Birthday, Mungu akuongezee maisha marefu

heri ya kuzaliwa mkuu
Mungu na akutangulie ktk kila jambo
May u live long to see ur 120yrs

Hongera na kila la kheri .

kumbe watu wa june tuko wengi..Happy b/day


Happy birthday! May u live to blow 1000 candles!!!

Happy birthday mkuu

happy birthday wa ukenyenge.

Njoo hapa samaki samaki temeke

kumbe miaka ya Biblia unaijua,lakini ilikuja ikapunguzwa

Live long with Blessings everyday
"Waheshimu baba yako na mama yako ili........."
Ahsanteni sana! Thank you ALL, I love you ALL. Wishing you a nice day! Amani iwe nanyi katika shughuli na maishani mwenu!!
 
dah nimechelewa bwana wish u all the happiness in the world.....
 
Hongera kijana kwa kutimiza miaka kumi na ngapi vile?

Uwe mtoto mzuri na usome kwa bidii.

Mie babu yako nakutakia heri ya siku yako ya kuzaliwa.
 
Back
Top Bottom