Ethan Cruz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2021
- 231
- 331
Hahaaaaa the brain is getting hold of the heart....
JE KUNA UMUHIMU WA KUPENDA NA KWANINI UNAPENDA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Paula ukiachwa kipi kinaanza kuuma? Ukijua hilo utakua umepata jibu la swali lakoKuhusu hiyo picha.
Hivi ni kwanini Moyo unahusishwa na "kupenda" na sio organ nyingine kama liver nk? Ni kweli moyo ndio unapenda?
Kuna sehemu nilipitia juu juu wakasema Wanafalsafa wa zamani wa kigiriki waliamini kila kitu kinakua controlled na moyo waliamini hata kufikiri ni kazi ya moyo, kupenda n.k. kabla tafiti nyingi hazijaendelea na kuja kujua baadae brain ndio inacontrol mambo yote.Kuhusu hiyo picha.
Hivi ni kwanini Moyo unahusishwa na "kupenda" na sio organ nyingine kama liver nk? Ni kweli moyo ndio unapenda?
Kuna sehemu nilipitia juu juu wakasema Wanafalsafa wa zamani wa kigiriki waliamini kila kitu kinakua controlled na moyo waliamini hata kufikiri ni kazi ya moyo, kupenda n.k. kabla tafiti nyingi hazijaendelea na kuja kujua baadae brain ndio inacontrol mambo yote.
Ila kisayansi structure ya heart hamna sehemu yoyote inayohusishwa na mambo ya kupenda
View attachment 1778475
NA NUKUU thread ya broda FRANCIS DA DONKuhusu hiyo picha.
Hivi ni kwanini Moyo unahusishwa na "kupenda" na sio organ nyingine kama liver nk? Ni kweli moyo ndio unapenda?
Inafikirisha...Kuhusu hiyo picha.
Hivi ni kwanini Moyo unahusishwa na "kupenda" na sio organ nyingine kama liver nk? Ni kweli moyo ndio unapenda?
Kichwa. Maana nakuwa na mawazo .Hivi Paula ukiachwa kipi kinaanza kuuma? Ukijua hilo utakua umepata jibu la swali lako
Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you.Kuna sehemu nilipitia juu juu wakasema Wanafalsafa wa zamani wa kigiriki waliamini kila kitu kinakua controlled na moyo waliamini hata kufikiri ni kazi ya moyo, kupenda n.k. kabla tafiti nyingi hazijaendelea na kuja kujua baadae brain ndio inacontrol mambo yote.
Ila kisayansi structure ya heart hamna sehemu yoyote inayohusishwa na mambo ya kupenda
View attachment 1778475
Thank you, nitazipitia hizi.NA NUKUU thread ya broda FRANCIS DA DON
Binafsi nashangaa moyo kuhusishwa na mapenzi, hivi inamaana moyo wangu ukatolewa na badala yake nikafungiwa moyo plastic unaotumia umeme nitashindwa kupenda? Uwendawazimu kabisa!
![]()
All About The Artificial Heart
The heart is the engine inside your body that keeps everything operational. In principle, the heart is a muscular pump that maintains oxygen and blood circulation through your lungs and body. In a...howscience.weebly.com
Jifunze jinsi moyo wa plastic wa umeme unavyofungwa ndani ya kifua na kufanya kazi
The heart is the engine inside your body that keeps everything operational. In principle, the heart is a muscular pump that maintains oxygen and blood circulation through your lungs and body. In a day, your heart pumps about 2,000 gallons of blood. Like any engine, if the heart is not...www.jamiiforums.com
Mkuu ni vizuri twende na scientific evidences tusiseme tu logical reasoning. Unaweza ukafanya logical reasoning ila je ukweli ndio huo? Au ukweli wa kisayansi unasemaje?Umeelezea vizuri juu lakini umeshindwa kumalizia vizuri, simple logical reasoning hivi ukimpenda mtu na akakuumiza kwa kukusaliti au vingine tu je ni kipi kinateseka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa, za kwako?[emoji1787][emoji1787] Mambo..??
zakwangu ni tamu wacha tu nikupe pole..🤣Poa, za kwako?
Mbona umenicheka sasa?[emoji846][emoji6][emoji854]
Uchoyo si mzuri...tugawiane hiyo tamu...[emoji4][emoji4]asante ila sina maumivu kwa sasa...[emoji6][emoji6]zakwangu ni tamu wacha tu nikupe pole..[emoji1787]
Iceberg9 binafsi maumivu nayapata tumboni....sasa sijui ni kawaida au ndio nishakuwa [emoji89]...[emoji854][emoji6][emoji846]
Hizo ni reactions tu Paula Paul jamani, unajua maumivu ya moyo huwezi linganisha na maumivu ya other organs punde linapokuja swala la kutendwa kwa mtu aliekupenda na ukampenda ndiyo maana wengi hujikuta wanapata hadi magonjwa ya moyo, pia kumbuka moyo ndiyo ingine ya mwili wa binadamu kiutendaji na kila kitu, unapopatwa na tukio la kuvunjwa moyo then heart suffer alot [emoji174]Kichwa. Maana nakuwa na mawazo .
Sihisi chochote kwenye moyo zaidi nitapata stomach cramps.
Nikigawa hizo tamu tu jua nami naumwa moyo we si unaumwagwa tumbo..🤣Uchoyo si mzuri...tugawiane hiyo tamu...[emoji4][emoji4]asante ila sina maumivu kwa sasa...[emoji6][emoji6]