capitalpool
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 22,363
- 121,260
- Thread starter
-
- #21
Thank You Carleen,capitalpool
you're the best thing that happened to me once in a life time, thank you so so much for this huge love, May our Friendship last till the day after forever, you're admired here Christian..!!
Mimi hata sielewi kaandika nini, nmeambiwa na google hana tokeo.
Neno moja tu zito la Kisukuma kutoka kwa big bro wako katika siku yako hii muhimu iliyobarikiwa:
Hangamaga! [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Capitalpool atakutafsria [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2211][emoji2211][emoji2211]
Mimi hata sielewi kaandika nini, nmeambiwa na google hana tokeo.
Hivi huna rafiki wa Kisuma atusaidie ?
You young love birds mnanifurahisha sana. Mnatafuta tafsiri ya Kisukuma Google? Kingekuwa Kihaya au Kichaga labda. Enjoy this blessed day guys [emoji1545][emoji1545][emoji16][emoji16][emoji16]
Haha..
Wewe Emmanuel umeenda kutazama vitu vingine kabisa jamani.!
Woow'...!Live it up and know you are worth the world. Do something nice for yourself and enjoy it to the fullest.
Happy birthday to you magnificent person.
View attachment 1751730
Hahaha.!Huwa sitabirikagi carl..ila ni ngumu mno kunikuta nimechukia,napenda kukaa kimya,nikiamua kuongea naongea ila sio kuongea bila sababu.99% nimechukua tabia za babangu.nimcheshi,nisiyependa makuu lakini nikisanga nikichukia😃😃
Baba yangu na uzee wake lakini mpka sasa ako na vituko mobu sana vya kufurahisha😃😃
Kupitia mwandiko wangu wengi sana wanafikiri niko 20’s...hahahahahaha ngoja niendelee kufurahi maisha yenyewe Haya hayatabiriki kama sport pesa
Haha..!! Bro bhaana, eti young nini..!?You young love birds mnanifurahisha sana. Mnatafuta tafsiri ya Kisukuma Google? Kingekuwa Kihaya au Kichaga labda. Enjoy this blessed day guys [emoji1545][emoji1545][emoji16][emoji16][emoji16]
Haha..!!Mimi hata sielewi kaandika nini, nmeambiwa na google hana tokeo.
Hivi huna rafiki wa Kisuma atusaidie ?
😂 😂Carleen tutambulishe basi huyu mleta thread ni nani??
Haha..!!
Wasukuma ninao wengi sana jamani,
Eyce Jaby'z Glenn Chaliifrancisco 😂
Nimewaita halafu mimi ndukii..!!
Hahaha mimi masai bana nasema mimi masai bana.Haha..!!
Wasukuma ninao wengi sana jamani,
Eyce Jaby'z Glenn Chaliifrancisco 😂
Nimewaita halafu mimi ndukii..!!
Hapana Carl..siko na early 20’s ya aina yoyote😄Hahaha.!
don't tell me hauko on your early 20's bhaana..!
I'm happy that your dad ako charming pia, me napenda snaa watu wenye vituko huwa na enjoy kukaa nao yaani.! you're so blessed..!!
😂 😂 😂 😂😂😂
Kukupa kastory ka ng'wanzaa ndo ukahitimisha mimi ni ngosha !!
yaani mimi na SHIMBA YA BUYENZE wote ni wala michembe 😁
Asee ningekusaidia hata koneksheni ya mangosha ila kwa hili itabidi brother akutafsirie tu mwenyewe
😂😂😂😂Hahaha mimi masai bana nasema mimi masai bana.
Hahaa,Hapana Carl..siko na early 20’s ya aina yoyote😄
Niko na early 30’s..na ni ngumu pia kujua😃
Ningemfuata mama aise nina uhakika ningeshazeeka😃maana yuko siriazi..loh hata sijui mzee aliimbishaje songi😎
Baba ananyota ya kukubalika mno na watu kwa vituko vyake lakini akiwa siriazi hujui kama ndie yeye mwenye vituko vingi.anabadilika kabisaaa.
Yes Nafurahi kufuata tabia za baba kwa asilimia kubwa Carl...