It's ur Birth Day...

It's ur Birth Day...

Neno moja tu zito la Kisukuma kutoka kwa big bro wako katika siku yako hii muhimu iliyobarikiwa:

Hangamaga! [emoji1545][emoji1545][emoji1545]

Capitalpool atakutafsria [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2211][emoji2211][emoji2211]

Screenshot_2021-04-14 hangamaga meaning - Tafuta na Google.png


Naambiwa hakuna matokeo Bro,

Labda tatizo ni hii Tecno yangu😬
 
Mimi hata sielewi kaandika nini, nmeambiwa na google hana tokeo.
Hivi huna rafiki wa Kisuma atusaidie ?
View attachment 1751762

Naambiwa hakuna matokeo Bro,

Labda tatizo ni hii Tecno yangu[emoji51]
You young love birds mnanifurahisha sana. Mnatafuta tafsiri ya Kisukuma Google? Kingekuwa Kihaya au Kichaga labda. Enjoy this blessed day guys [emoji1545][emoji1545][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Huwa sitabirikagi carl..ila ni ngumu mno kunikuta nimechukia,napenda kukaa kimya,nikiamua kuongea naongea ila sio kuongea bila sababu.99% nimechukua tabia za babangu.nimcheshi,nisiyependa makuu lakini nikisanga nikichukia😃😃

Baba yangu na uzee wake lakini mpka sasa ako na vituko mobu sana vya kufurahisha😃😃
Kupitia mwandiko wangu wengi sana wanafikiri niko 20’s...hahahahahaha ngoja niendelee kufurahi maisha yenyewe Haya hayatabiriki kama sport pesa
Hahaha.!
don't tell me hauko on your early 20's bhaana..!

I'm happy that your dad ako charming pia, me napenda snaa watu wenye vituko huwa na enjoy kukaa nao yaani.! you're so blessed..!!
 
Hahaha.!
don't tell me hauko on your early 20's bhaana..!

I'm happy that your dad ako charming pia, me napenda snaa watu wenye vituko huwa na enjoy kukaa nao yaani.! you're so blessed..!!
Hapana Carl..siko na early 20’s ya aina yoyote😄
Niko na early 30’s..na ni ngumu pia kujua😃
Ningemfuata mama aise nina uhakika ningeshazeeka😃maana yuko siriazi..loh hata sijui mzee aliimbishaje songi😎

Baba ananyota ya kukubalika mno na watu kwa vituko vyake lakini akiwa siriazi hujui kama ndie yeye mwenye vituko vingi.anabadilika kabisaaa.

Yes Nafurahi kufuata tabia za baba kwa asilimia kubwa Carl...
 
Happy belated birthday beautiful Carleen , i remember last month i promised to sing a song for you sijui hata imekuaje nimesahau hii siku muhimu 🤔 anyways it's better late than never

"Happy birthday to you😍 ×2
May all the best things,blessings come your way 🙏"

Hope you Enjoyed your day😍
 
😂😂

Kukupa kastory ka ng'wanzaa ndo ukahitimisha mimi ni ngosha !!

yaani mimi na SHIMBA YA BUYENZE wote ni wala michembe 😁

Asee ningekusaidia hata koneksheni ya mangosha ila kwa hili itabidi brother akutafsirie tu mwenyewe
😂 😂 😂 😂
Kwahiyo mwanangu kumbe ulikuwa unanipiga sound tu hakuna unachokijua..!?
 
Hapana Carl..siko na early 20’s ya aina yoyote😄
Niko na early 30’s..na ni ngumu pia kujua😃
Ningemfuata mama aise nina uhakika ningeshazeeka😃maana yuko siriazi..loh hata sijui mzee aliimbishaje songi😎

Baba ananyota ya kukubalika mno na watu kwa vituko vyake lakini akiwa siriazi hujui kama ndie yeye mwenye vituko vingi.anabadilika kabisaaa.

Yes Nafurahi kufuata tabia za baba kwa asilimia kubwa Carl...
Hahaa,
Wanaimbishwa tu mama angu, kuna wanaume wana madini jamani.! Unajikuta tu usha-fall in love,
Early 30's..? you can't be serious bhaana.! Hili siwezi liamini kamwe, wewe tubaki tu hapa kwenye 20's akii..!
Enwei, Hongera sana kwa kuwa charming mumie..!!
 
Back
Top Bottom