Itumie mitandao ya kijamii vizuri iwe ajira kwako

Itumie mitandao ya kijamii vizuri iwe ajira kwako

Chris Lukosi

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
4,583
Reaction score
2,944
Ndugu zanguni

Ni muda sasa sijapost humu kwani nimekua bize sana na kazi

Nimekua nikiona na kusikia vijana wakilalamika sana kuhusu ajira. Napenda kuwajuza tu kua moja ya ajira ambazo huhitaji kutuma maombi wala elimu ni kuitumia mitandao ya kijamii kama ajira

Mimi nadhani wengi mnanifahamu humu . Mimi mpaka hapa nilipo nimeinuka kwa kutumia mitandao ya kijamii

Sasa wewe dogo GEN Z endelea kukesha mitandaoni kutukana watu wakati wenzako ni ajira

KAZI NI KIPIMO CHA UTU

KC TEAM

WE ARE PROOOUD

NB; Nimewamiss sana Nyumbu....
 
Kibongo labda usifie ccm upate dhamana kama ulivyo fanya wewe ukatoboa.Mfano ukutaka watu tuje nchi za nje kupoje,mfano ukutaka watu wajue kuwa kilimo na pembejeo kuwa serikali ilitakiwa kuwa watu wake wapate bila siasa.Kwa vile ukaona yale ma used na wajinga yaje uwe kama trump ana kwambia sifatilii soko la hisa wakati utajiri wake kapitia hapo.
wabongo wanaishi nje ni sawa na saratani inayowacheka wakijua ccm ndio dhamana yao mfano huyu alipata umaarufu mfano leo dotto magari wanapitia kule kule ila kuzindua nchi zao haaaaaa.wapo kuunga mkono giza na giza.
 
Ndugu zanguni

Ni muda sasa sijapost humu kwani nimekua bize sana na kazi

Nimekua nikiona na kusikia vijana wakilalamika sana kuhusu ajira. Napenda kuwajuza tu kua moja ya ajira ambazo huhitaji kutuma maombi wala elimu ni kuitumia mitandao ya kijamii kama ajira

Mimi nadhani wengi mnanifahamu humu . Mimi mpaka hapa nilipo nimeinuka kwa kutumia mitandao ya kijamii

Sasa wewe dogo GEN Z endelea kukesha mitandaoni kutukana watu wakati wenzako ni ajira

KAZI NI KIPIMO CHA UTU

KC TEAM

WE ARE PROOOUD

NB; Nimewamiss sana Nyumbu....
Umeanza vizuri lakini umemaliza vibaya sana, huwezi kutafuta ugomvi na watu wa jf halafu ukabaki salama, yaani kuacha Ulanzi na kuanza kunywa bia tayari ushaanza dharau!

Jitafakari
 
Anyways Nimecheka kazi zako Instagram issue za mashine na uuzaji wa magari second Hand appreciate you brother
 
Ndugu zanguni

Ni muda sasa sijapost humu kwani nimekua bize sana na kazi

Nimekua nikiona na kusikia vijana wakilalamika sana kuhusu ajira. Napenda kuwajuza tu kua moja ya ajira ambazo huhitaji kutuma maombi wala elimu ni kuitumia mitandao ya kijamii kama ajira

Mimi nadhani wengi mnanifahamu humu . Mimi mpaka hapa nilipo nimeinuka kwa kutumia mitandao ya kijamii

Sasa wewe dogo GEN Z endelea kukesha mitandaoni kutukana watu wakati wenzako ni ajira

KAZI NI KIPIMO CHA UTU

KC TEAM

WE ARE PROOOUD

NB; Nimewamiss sana Nyumbu....
People with low IQ won't understand this wataona fursa za mtandaoni ni utapeli due to their limited thinking capacity
 
Fanyeni YouTube. Ingawa inahitaji uvumilivu na uwe consistent. It took me 2 year to achieve this monthly
Screenshot_20250307-214504~2.png


Screenshot_20250307-214452.png
 
Back
Top Bottom