GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Haiwezekani kabisa nyie ITV Daima mkatutesa sisi Watazamaji wenu kila uchao hasa kila muda wa Taarifa ya Habari yenu ya Saa mbili ( 2 ) usiku inapofika tu wakisoma hawa Watangazaji wawili Jackline Silemu na Julieth Robert huwa tunashindwa kabisa kufanya Kazi zingine za Kujenga nchi na kuwatafutia TRA na JPM Kodi yao.
Tangia nizaliwe na nimetizama taarifa za Habari mbalimbali za Tv zile kubwa kabisa za barani Afrika na Ulaya lakini sijawahi ' Kukumbana ' na Watangazaji wazuri, warembo na wenye mvuto kama hawa mlio nao nyie akina Jackline Silemu na Julieth Robert.
Wakisoma tu hawa Taarifa zenu za Habari kutokana na ' mvuto ' wao sisi Watazamaji huku huwa tunateseka kwa kiasi kikubwa mno.
Yafuatayo ni baadhi ya matukio ambayo hutupata na kutusababishia sana usumbufu pale tu Mtangazaji Jackline Silemu na Julieth Robert wakiwa wanasoma taarifa ya Habari ya ITV kila ifikapo Saa mbili ( 2 ) usiku kutokana na sisi kuwaangalia Wao kutokana na ' mvuto ' wao......
Hongereni mno akina Jackline Silemu na mwenzako Julieth Robert kwani tunawapenda na tunawakubali sana. Kaeni mkijua kuwa nyie ni ' Warembo ' kuliko Watangazaji wengine wote waliopo katika Media zingine hapa duniani.
Akhsante ITV Daima na kwakweli kwa hawa ' Warembo ' wawili nimeamini kuwa nyie ni Super Brand na mnastahili. Nilikuwa sipendi kuangalia ITV ila tangia nianze kuwaona hawa Wadada wawili ' hakyanani ' ifikapo tu Saa mbili ( 2 ) Kamili huwa ' sibanduki ' ITV ili mradi ' niwakodolee ' tu kisha roho yangu ioge na itakase.
Nawasilisha.
Tangia nizaliwe na nimetizama taarifa za Habari mbalimbali za Tv zile kubwa kabisa za barani Afrika na Ulaya lakini sijawahi ' Kukumbana ' na Watangazaji wazuri, warembo na wenye mvuto kama hawa mlio nao nyie akina Jackline Silemu na Julieth Robert.
Wakisoma tu hawa Taarifa zenu za Habari kutokana na ' mvuto ' wao sisi Watazamaji huku huwa tunateseka kwa kiasi kikubwa mno.
Yafuatayo ni baadhi ya matukio ambayo hutupata na kutusababishia sana usumbufu pale tu Mtangazaji Jackline Silemu na Julieth Robert wakiwa wanasoma taarifa ya Habari ya ITV kila ifikapo Saa mbili ( 2 ) usiku kutokana na sisi kuwaangalia Wao kutokana na ' mvuto ' wao......
- Kusahau kunywa Dawa za Malaria
- Kusahau Kula Chakula
- Kusahau kama tuna Wapenzi wetu
- Kusahau kama kuna dhambi duniani
- Kusahau kama kuna Kufa
- Kusahau kama TRA wanatudai Kodi zao
- Kusahau Kusali
Hongereni mno akina Jackline Silemu na mwenzako Julieth Robert kwani tunawapenda na tunawakubali sana. Kaeni mkijua kuwa nyie ni ' Warembo ' kuliko Watangazaji wengine wote waliopo katika Media zingine hapa duniani.
Akhsante ITV Daima na kwakweli kwa hawa ' Warembo ' wawili nimeamini kuwa nyie ni Super Brand na mnastahili. Nilikuwa sipendi kuangalia ITV ila tangia nianze kuwaona hawa Wadada wawili ' hakyanani ' ifikapo tu Saa mbili ( 2 ) Kamili huwa ' sibanduki ' ITV ili mradi ' niwakodolee ' tu kisha roho yangu ioge na itakase.
Nawasilisha.