ITV Dakika 45: Nimemsikiliza Hashimu Rungwe yupo vema zaidi ya Lissu na Mbowe

ITV Dakika 45: Nimemsikiliza Hashimu Rungwe yupo vema zaidi ya Lissu na Mbowe

Mzee amezungumzia kuhusu makodi Makubwa yanayowatesa Watanzania.

Uongo wa kikosi kazi cha Samia kubwa kimejaa wazee sana kama yeye hawana jipya walikuwa kwenye mfumo uliowatesa watanzania hivyo hawataweza kuwa msaada,atafute vijana na watu walio nje ya mfumo jinai.

Anasema tozo za Samia na maisha ya kifahari ya viongozi ndio yanayowatesa Watanzania.

Anayeona so called maridhiano kama sana tu maana baada ya uchaguzi mkuu matatizo yatabakia palepale

Vita ya Ukraine ni uongo wa dunia tu hasa serkali za kiswahili kuwadanganya wananchi ili wawabandikie kodi kubwa, hakuna uhusiano wa vita na bei ya mafuta na vyakula ni sera mbovu za bei na chakula.

Kiufupi mzee Hashimu amezungumza mambo ya msingi kuliko wapiga domo wa maridhiano.

USSR
Kwanini na mumeo asiende kuzungumza?
 
Mzee amezungumzia kuhusu makodi Makubwa yanayowatesa Watanzania.

Uongo wa kikosi kazi cha Samia kubwa kimejaa wazee sana kama yeye hawana jipya walikuwa kwenye mfumo uliowatesa watanzania hivyo hawataweza kuwa msaada,atafute vijana na watu walio nje ya mfumo jinai.

Anasema tozo za Samia na maisha ya kifahari ya viongozi ndio yanayowatesa Watanzania.

Anayeona so called maridhiano kama sana tu maana baada ya uchaguzi mkuu matatizo yatabakia palepale

Vita ya Ukraine ni uongo wa dunia tu hasa serkali za kiswahili kuwadanganya wananchi ili wawabandikie kodi kubwa, hakuna uhusiano wa vita na bei ya mafuta na vyakula ni sera mbovu za bei na chakula.

Kiufupi mzee Hashimu amezungumza mambo ya msingi kuliko wapiga domo wa maridhiano.

USSR
Kwa nini iwe Mbowe na Lissu tu na wala asiwe Joe Biden na Putin?Unani na hao watu?
 
Kwanini chadema mnakrashi kila zuri linalofanywa na chaumma wakati ni swahiba wenu kwani uongo upi aliosema mzee au mlitaka aseme lissu au mbowe acheni chuki bhana
 
Mzee amezungumzia kuhusu makodi Makubwa yanayowatesa Watanzania.

Uongo wa kikosi kazi cha Samia kubwa kimejaa wazee sana kama yeye hawana jipya walikuwa kwenye mfumo uliowatesa watanzania hivyo hawataweza kuwa msaada,atafute vijana na watu walio nje ya mfumo jinai.

Anasema tozo za Samia na maisha ya kifahari ya viongozi ndio yanayowatesa Watanzania.

Anayeona so called maridhiano kama sana tu maana baada ya uchaguzi mkuu matatizo yatabakia palepale

Vita ya Ukraine ni uongo wa dunia tu hasa serkali za kiswahili kuwadanganya wananchi ili wawabandikie kodi kubwa, hakuna uhusiano wa vita na bei ya mafuta na vyakula ni sera mbovu za bei na chakula.

Kiufupi mzee Hashimu amezungumza mambo ya msingi kuliko wapiga domo wa maridhiano.

USSR
Toka huko ccm mfuate Rungwe kwenye chama chake
 
Mzee amezungumzia kuhusu makodi Makubwa yanayowatesa Watanzania.

Uongo wa kikosi kazi cha Samia kubwa kimejaa wazee sana kama yeye hawana jipya walikuwa kwenye mfumo uliowatesa watanzania hivyo hawataweza kuwa msaada,atafute vijana na watu walio nje ya mfumo jinai.

Anasema tozo za Samia na maisha ya kifahari ya viongozi ndio yanayowatesa Watanzania.

Anayeona so called maridhiano kama sana tu maana baada ya uchaguzi mkuu matatizo yatabakia palepale

Vita ya Ukraine ni uongo wa dunia tu hasa serkali za kiswahili kuwadanganya wananchi ili wawabandikie kodi kubwa, hakuna uhusiano wa vita na bei ya mafuta na vyakula ni sera mbovu za bei na chakula.

Kiufupi mzee Hashimu amezungumza mambo ya msingi kuliko wapiga domo wa maridhiano.

USSR
Hatushangai awamu ya tano nyie adui yenu no 1 nchini alikua CDM!!!
 
Back
Top Bottom