Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,271
- 2,903
Nimesikitika kuona TV yetu ya TAIFA ITV hawajarusha habari kuhusina na matokeo ya Mechi ya Yanga.
ITV ndiyo kituo kikubwa cha kurusha matangazo nchini ni ukweli ambao nashindwa kuupinga. Nashindwa kuelewa kwa nini waandishi wake wanashindwa kupata matokeo ya mechi za yanga?
ITV ndiyo kituo kikubwa cha kurusha matangazo nchini ni ukweli ambao nashindwa kuupinga. Nashindwa kuelewa kwa nini waandishi wake wanashindwa kupata matokeo ya mechi za yanga?