Huyo jamaa wa tume anawakalisha sana, huyo dr. Wa bagamoyo ni type ya kina mrema lyatonga
Ni kamishana wa tume tu ndie alietetea mapendekezo ya tume ila wengine wote wako against na serikali 3.
Kuanzia leo sitakuwa na imani na hiki kipindi.
Pro-Chadema kila kukicha na malalamiko leo tena ITV wamekuwa wabaya.