M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
Nimekuwa nikishangaa sana baadhi ya watu kumuona Mengi ni mzalendo na mpiganiaji wa maslahi ya nchi. Big bloody mistake!
Mengi ni opportunist tu, anaangalia upepo unaelekea wapi naye anafuata.
Halafu anapenda umaarufu na kupendwa. This time nimefurahi kuwa watu wameona Mengi's true colours.
So make your own judgment (a.k.a changanya na za kwako!!).
Mengi ni opportunist tu, anaangalia upepo unaelekea wapi naye anafuata.
Halafu anapenda umaarufu na kupendwa. This time nimefurahi kuwa watu wameona Mengi's true colours.
So make your own judgment (a.k.a changanya na za kwako!!).