Elections 2010 ITV mmeanza lini kuwa CCM?

Nimekuwa nikishangaa sana baadhi ya watu kumuona Mengi ni mzalendo na mpiganiaji wa maslahi ya nchi. Big bloody mistake!
Mengi ni opportunist tu, anaangalia upepo unaelekea wapi naye anafuata.
Halafu anapenda umaarufu na kupendwa. This time nimefurahi kuwa watu wameona Mengi's true colours.
So make your own judgment (a.k.a changanya na za kwako!!).
 
Tanzania ya leo haimati ni TV gani inaonyesha balanced news. watanzania wameshaona ukweli. Serikali inawajali hasa kipindi cha uchaguzi. Mara utaona Rais anakaa kwenye vumbi eti anaongea na Handcapped. Lakini tunasahau kuwa handcapped mmoja alitiwa ndani alipokwenda ikulu aonane na Rais ili amweleze shida yake. Hawakuweza hata kumpa msaidizi wa Rais ili aongee naye, alisweka ndani hadi wanaharakati walipomtoa na baadaye kituo kimoja cha TV kilitoa offer ya kumpa nauli arudi kwao Arusha.
Kwenye kampeni tunamuona JK kaa kwenye vumbi for photo opt, lakini aliyemfuata Ikulu hakuweza kuonana hata na secretary, akaishia lupango.
Mwaka huu ngoma mdundo, watatumia TV, magazeti ya serikali na binafsi but ukweli utabaki palepale. Watanzania wamechoka na wanataka MABADILIKO....Period.
 
walishanunuliwa kitambo saana yaani mpaka watoto wanaosoma mashaili wanaonyeswa na siyo sela za mgombea, na channel kichefuchefu zaidi ni CHANEL 10 au imenunuliwa na Rostam nini!??

Mkuu kwa miaka mitano ya awamu ya nne rais alikuwa Rostam Aziz, JK ni boya tuuuuuuuuuuuuuuuuu.RA ndiye anaamua nani awe nani, nini kifanyike
 

Mengi ana kadi ya CCM aliyopewa pale CCM Kisutu miaka ya 1970s/ 1980s na aliionesha wakati Sophia Simba aliposema yeye si CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…