ITV Munatakiwa mutuombe msamaha watazamaji

ITV Munatakiwa mutuombe msamaha watazamaji

Somi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2009
Posts
3,921
Reaction score
4,858
Leo ITV imeonyesha tendo la ajabu sana ndiyo sababu watu wengine tunaamua kuangalia tv za nje tu.

Haiwezekani tv ambayo imasema kuwa ni super brand afrika mashariki ifanye mambo kwa kukurupuka bila ratiba .

Nilikuwa naangalia Al jazera tv kupitia itv gafla saa 6.15 wanakatiza matangazo na Kurusha matangazo ya mshindi wa Bahati nasibu, kwanini wasisubiri kipindi cha Habari za dunia Al jazera tv kiishe warushe hio Habari ya bahati nasibu ?

Sawa bahati nasibu inawaangizia ela lakini haikuwa breaking news wangetafuta muda mungine Hata baada ya Habari Al jazera wakarusha matangazo yao.
Jaribuni kuendesha vipindi vyenu kwa ratiba !
 
Leo ITV imeonyesha tendo la ajabu sana ndiyo sababu watu wengine tunaamua kuangalia tv za nje tu.

Haiwezekani tv ambayo imasema kuwa ni super brand afrika mashariki ifanye mambo kwa kukurupuka bila ratiba .

Nilikuwa naangalia Al jazera tv kupitia itv gafla saa 6.15 wanakatiza matangazo na Kurusha matangazo ya mshindi wa Bahati nasibu, kwanini wasisubiri kipindi cha Habari za dunia Al jazera tv kiishe warushe hio Habari ya bahati nasibu ?

Sawa bahati nasibu inawaangizia ela lakini haikuwa breaking news wangetafuta muda mungine Hata baada ya Habari Al jazera wakarusha matangazo yao.
Jaribuni kuendesha vipindi vyenu kwa ratiba !
ITV, pamoja na hilo kosa walofanya, wanakubalika mara 100 ukilinganisha na TV nyingine kama.vile TBC na Channel 10.
 
Leo ITV imeonyesha tendo la ajabu sana ndiyo sababu watu wengine tunaamua kuangalia tv za nje tu.

Haiwezekani tv ambayo imasema kuwa ni super brand afrika mashariki ifanye mambo kwa kukurupuka bila ratiba .

Nilikuwa naangalia Al jazera tv kupitia itv gafla saa 6.15 wanakatiza matangazo na Kurusha matangazo ya mshindi wa Bahati nasibu, kwanini wasisubiri kipindi cha Habari za dunia Al jazera tv kiishe warushe hio Habari ya bahati nasibu ?

Sawa bahati nasibu inawaangizia ela lakini haikuwa breaking news wangetafuta muda mungine Hata baada ya Habari Al jazera wakarusha matangazo yao.
Jaribuni kuendesha vipindi vyenu kwa ratiba !
Nenda kadhamini kipindi kimoja wapo hapo ITV
 
ITV hawechekani na TBC siku hizi. Yani hata Start Tv inaonekana kama CNN ukilinganisha na ITV.

Kuanzia quality ya video zao mpaka set up ya studio zao ni vichekesho tu. Kutoka kuwa kituo namba moja Tanzania mpaka kuwa kama kistudio cha Kwampalange.
 
Back
Top Bottom