ITV Munatakiwa mutuombe msamaha watazamaji

ITV Munatakiwa mutuombe msamaha watazamaji

Leo ITV imeonyesha tendo la ajabu sana ndiyo sababu watu wengine tunaamua kuangalia tv za nje tu.

Haiwezekani tv ambayo imasema kuwa ni super brand afrika mashariki ifanye mambo kwa kukurupuka bila ratiba .

Nilikuwa naangalia Al jazera tv kupitia itv gafla saa 6.15 wanakatiza matangazo na Kurusha matangazo ya mshindi wa Bahati nasibu, kwanini wasisubiri kipindi cha Habari za dunia Al jazera tv kiishe warushe hio Habari ya bahati nasibu ?

Sawa bahati nasibu inawaangizia ela lakini haikuwa breaking news wangetafuta muda mungine Hata baada ya Habari Al jazera wakarusha matangazo yao.
Jaribuni kuendesha vipindi vyenu kwa ratiba !
Al Jazira ilikuwa ni chambo ili muangalie wengi alafu waweke Kamari[wewe unaita bahati nasibu]
 
sasa kama televisheni zenu zimekosa creativity zinabebwa na matangazo ya kubeti unategemea watakuwa na kitu kipya na cha maana? SHAME media za kibongo zooote kazi yao moja tu kumsifia mama, utaskia leo kaleta mvua, leo kapunguza vifo vya panzi sijui wanawake sijui takataka gani, yaani ni kimbembe.
 
ITV, pamoja na hilo kosa walofanya, wanakubalika mara 100 ukilinganisha na TV nyingine kama.vile TBC na Channel 10.
Kwenye biashara haitakiwi kufanya kwa kubweteka au kwa Mazoea akija mshindani mpya Anabeba wateja wote .
Ukiona wazungu ni mamilionea na mabilionea ujue wanaheshimu na kudhamini sana kazi / biashara yao .
 
Leo ITV imeonyesha tendo la ajabu sana ndiyo sababu watu wengine tunaamua kuangalia tv za nje tu.

Haiwezekani tv ambayo imasema kuwa ni super brand afrika mashariki ifanye mambo kwa kukurupuka bila ratiba .

Nilikuwa naangalia Al jazera tv kupitia itv gafla saa 6.15 wanakatiza matangazo na Kurusha matangazo ya mshindi wa Bahati nasibu, kwanini wasisubiri kipindi cha Habari za dunia Al jazera tv kiishe warushe hio Habari ya bahati nasibu ?

Sawa bahati nasibu inawaangizia ela lakini haikuwa breaking news wangetafuta muda mungine Hata baada ya Habari Al jazera wakarusha matangazo yao.
Jaribuni kuendesha vipindi vyenu kwa ratiba !
Tafuta ela uunge kufurushi. Over
 
Leo ITV imeonyesha tendo la ajabu sana ndiyo sababu watu wengine tunaamua kuangalia tv za nje tu.

Haiwezekani tv ambayo imasema kuwa ni super brand afrika mashariki ifanye mambo kwa kukurupuka bila ratiba .

Nilikuwa naangalia Al jazera tv kupitia itv gafla saa 6.15 wanakatiza matangazo na Kurusha matangazo ya mshindi wa Bahati nasibu, kwanini wasisubiri kipindi cha Habari za dunia Al jazera tv kiishe warushe hio Habari ya bahati nasibu ?

Sawa bahati nasibu inawaangizia ela lakini haikuwa breaking news wangetafuta muda mungine Hata baada ya Habari Al jazera wakarusha matangazo yao.
Jaribuni kuendesha vipindi vyenu kwa ratiba !
why uangalie chaneli hiyo kupitia ITV wakati inapatikana moja kwa moja? Hujalipia kifurushi?
 
ITV, pamoja na hilo kosa walofanya, wanakubalika mara 100 ukilinganisha na TV nyingine kama.vile TBC na Channel 10.
Clouds wangekuwa na vipindi vya watu wazima lakini ubora ule ule wangeshawapiku ITV kitambi sana.

Shida wamejikita kwa vijana....
 
Decoder ninayo , kifurushi leo sijalipia
siruhusiwi kutangazia biashara kampuni ya king'amuzi ningekuambia ni king'amuzi cha kampuni ipi inakopatikana aljazeera kwa bei nafuu
 
Studio za ipp zimechoka sana.. pvc zimeisha mpaka zinakandikwa stickers na makapeti ya getho yale .. angalieni eatv habari na friday night live mpaka unaona kero kuangalia studio zimechoka.
 
Back
Top Bottom