ITV na upotoshaji wa habari yadai Yanga imetwaa ubingwa 2016/2017

Wapeni mwadui zile pesa zote za sportpesa wakubali muwafunge bao 11 na mwambien Hanspop awahonge mbao waifunge Yanga 3 bila
 
Magazeti ya shigongo hayachelewi kuwapa simba mbinu za kuchukua ubingwa
 
Manara Jana ameipongeza Yanga....sasa sijui nae amepotosha ilhal ni kiongozi wenu.
 
Nasikia tetesi kuwa Jecha wa huko FIFA ametoa mwongozo kuwa kama timu zikifungana pwenti basi waangalie kati ya hizo timu nani alimbanjua mwenzake ndiyo awe BINGWA. Mimi nawasilisha tu kama nilivyoyasikia jamani.
 
SIMBA NAWASHAURI SANA KAENI CHINI MJIFUNZE MAKOSA MNAYOYAFANYA NA KUYARUDIA KILA MWAKA
TIMU YENU NZURI SANA SANA SANA SI WAKUKOSA UNINGWA NYIE
TATIZO MMESAHAU KICHEZA MPITA MMEJIINGIZA KWENYE MANENO YASIO WASAIDI NA MALUMBANO,MIPASHO,NA MIZENGWE
ACHENI MPIRA UCHEZWE UWANJANI NA HAYO MENGINI MUWAACHIE wanasiasa na wana harakati
 
Nasikia tetesi kuwa Jecha wa huko FIFA ametoa mwongozo kuwa kama timu zikifungana pwenti basi waangalie kati ya hizo timu nani alimbanjua mwenzake ndiyo awe BINGWA. Mimi nawasilisha tu kama nilivyoyasikia jamani.
ha haaa.................
 
Kujeni kujeni kujeeeeeni ahaaaaaa !
 
Nafikiri leo umeelewa kwanini ITV walitangaza Yanga ni Bingwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…