Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Huyu mwandishi wa ITV ana ripoti vizuri lakini kushindwa kuongea kiswahili sanifu kumenikera sana.
Huyu mwandishi anaitwa Silemu, katika kipindi cha kuwahoji hao vijana waliotapeliwa fedha na kampuni ya QNET.
Akimwuliza au kuhoji mtu, badala ya kumuuliza UMETOA KIASI GANI, yeye anauliza UMETOA BEI GANI!
Hii inatia mashaka juu ya elimu na basic training ya mwandishi.
Kama mwandishi hajui tofauti kati ya BEI na KIASI kwa maana ya fedha basi huo ni udhaifu mkubwa katika weledi wa watangazaji wa ITV.
Huku ni kuendeleza ujinga!
Huyu mwandishi anaitwa Silemu, katika kipindi cha kuwahoji hao vijana waliotapeliwa fedha na kampuni ya QNET.
Akimwuliza au kuhoji mtu, badala ya kumuuliza UMETOA KIASI GANI, yeye anauliza UMETOA BEI GANI!
Hii inatia mashaka juu ya elimu na basic training ya mwandishi.
Kama mwandishi hajui tofauti kati ya BEI na KIASI kwa maana ya fedha basi huo ni udhaifu mkubwa katika weledi wa watangazaji wa ITV.
Huku ni kuendeleza ujinga!