Escotter20
JF-Expert Member
- Jul 20, 2020
- 505
- 960
ITV miongoni mwa kazi zao ni kutangaza biashara halali. Kutapeliwa ni tamaa zako mwenyewehabari wananzengo..
Hongera simba kwa kuwakilisha vyema taifa
Turudi kwenye mada inawezekana vp chombo kikubwa kama itv, superbrand wa miaka kadhaa hapo nyuma kupromote utapeli, wa hii kampuni ya kalyinda,?. kuna kila sababu ya ITV na management nzima kuwajibika juu ya hili. in fanct ni kwamba itv imejijengea uaminifu kwa wananchi hivyo kutanga hio kaylinda ilikua ni rahisi kwa mtu yoyote kujiunga
ITV WAHOJIWE WATUONESHE WAPI ALIPO KALYINDA..
itv mmejishusha thamani kubwa machoni kwa watanzania ikiwezekana mtutake radhi
uzi tiari
BOT na vyombo vya usalama ndo vijihoji.habari wananzengo..
Hongera simba kwa kuwakilisha vyema taifa
Turudi kwenye mada inawezekana vp chombo kikubwa kama itv, superbrand wa miaka kadhaa hapo nyuma kupromote utapeli, wa hii kampuni ya kalyinda,?. kuna kila sababu ya ITV na management nzima kuwajibika juu ya hili. in fanct ni kwamba itv imejijengea uaminifu kwa wananchi hivyo kutanga hio kaylinda ilikua ni rahisi kwa mtu yoyote kujiunga
ITV WAHOJIWE WATUONESHE WAPI ALIPO KALYINDA..
itv mmejishusha thamani kubwa machoni kwa watanzania ikiwezekana mtutake radhi
uzi tiari
Kwahiyo hata tangazo la ushoga? Ruska kwa kuwa mteja heeChukulia kwamba wewe una kituo cha habari.. anakuja mtu (mteja) na tangazo lake... Anataka liende hewani kupitia kituo chako cha habari.. na matangazo kwako ni biashara... Vp mzee utalipeleka tangazo hewani ama utaliacha..??
UnaumwaWacha kukurupuka, kama umetapeliwa nenda kwenye vyombo vya sheria ili sheria ifuate mkondo wake na sio kuja kubwatuka hovyo tu hapa.
hujui tu hio kitu ilikua inatangazwa kwenye kipindi cha michezo asubuhi.. unajifanya unajua kumbe choko tu πHujielewe!! Tena jikiruu kabisa..wale sio ITV ile ni page fake iliwekwa jina la ITV π π π kama unabisha leta ile post hata followers wa ile pag kwani huoni ni wachache?, mafala kama nyie ndo wale Kuna page fake za millardayo eti anatoa mikopo na mnatapeliwa kuwa makini ITV ni smart Tena super brand utakwenda jela Kiande wewe wacha kuchagua jina ....Maoni yangu tafuta pesa maana akili haijakusaidia
Sio kweli hamna sehemu wamtaja investment π π π Bogus wacha kitongohujui tu hio kitu ilikua inatangazwa kwenye kipindi cha michezo asubuhi.. unajifanya unajua kumbe choko tu π
Bila sana kwenye kupokea matangazo hawaangalii fedha tu. Kuna vitu vingi inabidi wavitilie maanani. Kama unabisha peleka tangazo lako kesho linalosema ''watanzania wenzangu, tutaendelea kutozwa tozo zisizo na kichwa wala miguu mpaka lini? Kuanzia leo jitokezeni tupinge hii dhuluma kwa maandamano ya amani''. Jaribu kupeleka.Chukulia kwamba wewe una kituo cha habari.. anakuja mtu (mteja) na tangazo lake... Anataka liende hewani kupitia kituo chako cha habari.. na matangazo kwako ni biashara... Vp mzee utalipeleka tangazo hewani ama utaliacha..??
Fikiri kabla yaaaaa kuna ndg yangu hapa kesho ndy alikuwa anaanzaa yaani kama namuonaa jinsi ningekuwa na mmwagiaa maji kwa preshaaBila sana kwenye kupokea matangazo hawaangalii fedha tu. Kuna vitu vingi inabidi wavitilie maanani. Kama unabisha peleka tangazo lako kesho linalosema ''watanzania wenzangu, tutaendelea kutozwa tozo zisizo na kichwa wala miguu mpaka lini? Kuanzia leo jitokezeni tupinge hii dhuluma kwa maandamano ya amani''. Jaribu kupeleka.
Ndg kuna maandamano ya aman ndani yahii Nchi au umemiss maji ya upupu [emoji141][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Bila sana kwenye kupokea matangazo hawaangalii fedha tu. Kuna vitu vingi inabidi wavitilie maanani. Kama unabisha peleka tangazo lako kesho linalosema ''watanzania wenzangu, tutaendelea kutozwa tozo zisizo na kichwa wala miguu mpaka lini? Kuanzia leo jitokezeni tupinge hii dhuluma kwa maandamano ya amani''. Jaribu kupeleka.