Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Katika hii Biashara ya Luninga mara nyingi kipato na faida ya TV husika inategemea Matangazo (wafadhili kufadhili kipindi husika) au Subscription kwenye Pay TV...
Sasa hawa ndugu zangu naona siku hizi vipindi vinakatishwa ghafla kujiunga mahali popote kiongozi anapoongea.., yaani wanafanya zile kazi za TV ya Taifa ambayo yenyewe ni sawa ikifanya hayo sababu inaendeshwa kwa Ruzuku..,
Sio hivyo tu leo nimeona kipindi kilichotengenezwa na AZAM na wakitangaza wanatangaza ni AZAM tena cha mwaka 2017 kinarushwa leo 2019 (sijui Mr Photogenic)
Sasa nashindwa kuelewa kama hii ndio super brand inaelekea huku tutabaki tunaangalia nini ? Na kwenye kipato kama wanafanya kazi za Taifa sponsorship wanapata wapi au ni scratch my back, i will scratch yours ?
Sasa hawa ndugu zangu naona siku hizi vipindi vinakatishwa ghafla kujiunga mahali popote kiongozi anapoongea.., yaani wanafanya zile kazi za TV ya Taifa ambayo yenyewe ni sawa ikifanya hayo sababu inaendeshwa kwa Ruzuku..,
Sio hivyo tu leo nimeona kipindi kilichotengenezwa na AZAM na wakitangaza wanatangaza ni AZAM tena cha mwaka 2017 kinarushwa leo 2019 (sijui Mr Photogenic)
Sasa nashindwa kuelewa kama hii ndio super brand inaelekea huku tutabaki tunaangalia nini ? Na kwenye kipato kama wanafanya kazi za Taifa sponsorship wanapata wapi au ni scratch my back, i will scratch yours ?