Migodi tuwe nayo ya nini wakati Tanzania shamba la bibi lina migodi ya kutosha ambayo kila mtu hujichukulia.
Hapa Nairobi ndio soko kubwa la dhahabu na Tanzanite, na pia ndiko watalii wanashukia wengi ili kuona mlima Kilimanjaro.
Huwezi kupewa vyote, unapewa raslimali unanyimwa ubongo, au upewe akili unyimwe raslimali.
Hivyo sisi hatuna migodi wala raslimali lakini kwa vile tumepewa akili, tunatawala ukanda wote huu kiuchumi.
Nyie raslimali na migodi mnayo ila maskini wa kutupwa maana mlinyimwa akili.