BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Kiukweli naomba mwenye info za kutosha za huyu jamaa atuambie anapiga ishu gani za kuingiza kiasi hicho? Mana sio kwa mabulungutu hayo.
Nakumbuka juzi kati mr diamond(nlikuja kuamini ni zari alifanya hivo) alipotoa kile kijembe siku chache baadae ivan alipost amekaa na cash money wenzake wamepanga "mihela" midola mi euro kwenye meza hio haitoshi jamaa akaanza kurusha kwa kamera man viburungutu vya dola
Anyway tuache hayo mana nsije kuwachokoza akina diamond humu.
Back to ivan, anapiga ishu gan huyu aise....mara nasikia ana tenda serikalini, mara anamiliki chuo huko south africa(sijui kama kweli).
Akina geniveros na akina miss chaga najua nawarusha roho nkiwaonesha madolari kama haya ...wadada changamken tena yuko single mshikaji..ila mtakua mnajiuliza mwanamke mwenzenu zarina ameondokaje pale na pako loaded [emoji23][emoji23]
Kweli life is not fair...ana tabia kama za floyd mayweather vile..mtu anaonesha kiburungutu cha dola mbele yako halaf anachat na simu halafu ukijichek wewe mfukoni una buku teni tu.
Nakumbuka juzi kati mr diamond(nlikuja kuamini ni zari alifanya hivo) alipotoa kile kijembe siku chache baadae ivan alipost amekaa na cash money wenzake wamepanga "mihela" midola mi euro kwenye meza hio haitoshi jamaa akaanza kurusha kwa kamera man viburungutu vya dola
Anyway tuache hayo mana nsije kuwachokoza akina diamond humu.
Back to ivan, anapiga ishu gan huyu aise....mara nasikia ana tenda serikalini, mara anamiliki chuo huko south africa(sijui kama kweli).
Akina geniveros na akina miss chaga najua nawarusha roho nkiwaonesha madolari kama haya ...wadada changamken tena yuko single mshikaji..ila mtakua mnajiuliza mwanamke mwenzenu zarina ameondokaje pale na pako loaded [emoji23][emoji23]
Kweli life is not fair...ana tabia kama za floyd mayweather vile..mtu anaonesha kiburungutu cha dola mbele yako halaf anachat na simu halafu ukijichek wewe mfukoni una buku teni tu.