Habari wana Jamii forums
Hivi kuna ukweli wowote juu ya ivf mbona ni kama wapo kiutapeli na kibiashara zaidi ya kusaidia watu, unakuta clinic moja kwa mwaka anaweza akafanikiwa mmoja watakae muweka kwenye post zao za social media na waliobaki wataambiwa warudi na wanalioshwa tena ikiwa kabla ya upandikizwaji walijiridhisha kila kitu Kipo Sawa na ni procedure inayochukua muda kumuandaa muhusukia.
Hapa kuna biashara inayo watesa sana wenye uhitaji wa watoto
Hivi kuna ukweli wowote juu ya ivf mbona ni kama wapo kiutapeli na kibiashara zaidi ya kusaidia watu, unakuta clinic moja kwa mwaka anaweza akafanikiwa mmoja watakae muweka kwenye post zao za social media na waliobaki wataambiwa warudi na wanalioshwa tena ikiwa kabla ya upandikizwaji walijiridhisha kila kitu Kipo Sawa na ni procedure inayochukua muda kumuandaa muhusukia.
Hapa kuna biashara inayo watesa sana wenye uhitaji wa watoto