IVF Clinic mbona ni kama wapo kiutapeli na kibiashara zaidi?

IVF Clinic mbona ni kama wapo kiutapeli na kibiashara zaidi?

Abega95

New Member
Joined
Jan 14, 2023
Posts
3
Reaction score
6
Habari wana Jamii forums

Hivi kuna ukweli wowote juu ya ivf mbona ni kama wapo kiutapeli na kibiashara zaidi ya kusaidia watu, unakuta clinic moja kwa mwaka anaweza akafanikiwa mmoja watakae muweka kwenye post zao za social media na waliobaki wataambiwa warudi na wanalioshwa tena ikiwa kabla ya upandikizwaji walijiridhisha kila kitu Kipo Sawa na ni procedure inayochukua muda kumuandaa muhusukia.

Hapa kuna biashara inayo watesa sana wenye uhitaji wa watoto
 
Habari wana Jamii forums

Hivi kuna ukweli wowote juu ya ivf mbona ni kama wapo kiutapeli na kibiashara zaidi ya kusaidia watu, unakuta clinic moja kwa mwaka anaweza akafanikiwa mmoja watakae muweka kwenye post zao za social media na waliobaki wataambiwa warudi na wanalioshwa tena ikiwa kabla ya upandikizwaji walijiridhisha kila kitu Kipo Sawa na ni procedure inayochukua muda kumuandaa muhusukia.

Hapa kuna biashara inayo watesa sana wenye uhitaji wa watoto
Kupata mtoto ni majaaliwa yake Mungu
 
Kutoka machapisho ya tafiti mbalimbali, ni 40% unaweza ukafanikiwa na 60% ni kutokufanikiwa. Na hata wateja nina imani wanapewa taarifa.
 
Back
Top Bottom