zinakinga kwa wastani wa asilimia 70, unajua kwa nini?
1.in any mass production huwa kuna allowed percentage ya defects, 2%
2. Utunzaji/uhifadhi mbaya wa condoms husababisha ziwe hafifu, 5%
3. Utumiaji mbaya kwa mfano kuivaa lakini ikaruhusu majimaji toka ukeni yakaingia kwa juu, 3% (hasa kwa ile sataili ya akina iiwe..! (kater....)
4. Kupasuka kwa condom, 5%, kwa wale wa tigo hii yaweza kufikia 10%
5. Zinginezo 2%
6. Condom feki hasa kwa nchi corrupt kama tz, 10%
tafsiri yake ni kwamba, kila unapojamiiana kwa kutumia condom mara 10, then mara 3 kati ya hizo huna uhakika wa full protection!