Ivi hili inawezekana kwel? Ebu ndugu zangu njooni mtusaidie.

Ivi hili inawezekana kwel? Ebu ndugu zangu njooni mtusaidie.

Akilihuru

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2022
Posts
1,512
Reaction score
2,980
Kwanz kutanguliza salam kwa kila mwana JF mwenzetu alie humu.

Sasa ndugu wana jukwaa kaka yenu, mdogo wenu au rafiki yenu nina jambo langu ambalo limenisukuma mimi kuja hapa kuomba msaada na ushauri wa kitaalam kuhusu mambo fulan fulan ya kiafya.

Ndugu yenu nina mwaka mmoja katika ndoa, ila mpaka sasa mimi na shemej yenu bado hatujajaaliwa kupata mtoto. Japo tunahitaji kijana/ bint, ila ilo sio tatizo sana kwani tunaamini kua muda wa Mungu ndio muda sahihi, so ukifika muda huo kijana au bint yetu wa kwanza tutampata tu.

Sasa kilichonifanya niandike thread hii, ni kwamba miezi miwili sasa hii shemej yenu ana dalili zote za mimba. Before alikuwa hajawahi kuhisi kichefu chefu chochote ktk maisha yake lakin sasa huwa anahisi kichefu chefu kila wakati na sometimes hutapika kabisa. Mke wang ni mtu ambae alikuwa hawezi kula chakula chochote bila mchuzi kidogo pembeni lkn sasa ivi hata akiona tu mchuzi ndani ya bakuli usipokuwa makini kuwa kuutoa machoni au karibu yake anaweza kutapika hapo hapo, ameanza kuwa na ham ya kula udongo, vitu vyenye ladha kali kama vile limao, ndimu au embe mbichi.

Pia sasa ivi kwenye kula anataka ale vyakula vikavu vikavu mfano samaki awe wa kukaanga, nyama iwe imekaangwa pia. Kuhisi mchoko kila mara na dalili zingine ambazo wataalam husema ni za mimba. Lakini cha kushangaza kila tukipima mimba hola. Tulianza na home test mara 2 tukakuta hola kipimo kinakataa, nikampeleka hospital pia kipimo kinakataa, lakin pia cha kushangaza mwezi uliopita aliona siku zake kama kawaida. Sasa hapo sijui ni nini wakuu!!

Nimeingia huko YouTube nikakutana na mtu anaedai kwamba yye aliwahi kuwa na dalili za mimba kwa muda wa miezi mi3 mfululizo huku akiona siku zake, na vipimo vyote vya nyumbani na hospital vikionesha kuwa hana mimba. Ila anasema alipoingia mwezi wa 4 hapo ndo period yake ikakata na aliporudi hospital tena kupima akaonekana kweli ana mimba. Sasa hili kweli linawezekana wakuu, maana nafaham kwamba mtu mwenye mimba kamwe hawezi kuona siku zake, japo kuna wataalam wanasema sometimes mtu anaweza kuona perido katika ule mwez wa kwanz wa ujauzito na period yenyewe huwa ni ya muda mfupi tu baada ya pale hukata na kukoma kabisa mpaka atapojifungua, sasa hii ya huyu wa miezi mi3 hadi 4 imewezekanaje?

Je kwa mantiki hiyo mke wang na yeye anaweza kuwa miongoni mwa watu wa aina hii kweli?

Tafadhalini naomba msaada wa kiujuzi kuhusu swala hili. Mbarikiwe sana.
 

Attachments

  • Screenshot_20241203-065006.jpg
    Screenshot_20241203-065006.jpg
    367.7 KB · Views: 11
Si kupitia hizo dalili ulizozisema??

Minyoo nayo inaweza mfanya mtu apate kichefuchefu kikali.
Nimekuelewa mkuu, acha tukapime kwanz minyoo na vipimo vingine.
 
Kwanz kutanguliza salam kwa kila mwana JF mwenzetu alie humu.

Sasa ndugu wana jukwaa kaka yenu, mdogo wenu au rafiki yenu nina jambo langu ambalo limenisukuma mimi kuja hapa kuomba msaada na ushauri wa kitaalam kuhusu mambo fulan fulan ya kiafya.

Ndugu yenu nina mwaka mmoja katika ndoa, ila mpaka sasa mimi na shemej yenu bado hatujajaaliwa kupata mtoto. Japo tunahitaji kijana/ bint, ila ilo sio tatizo sana kwani tunaamini kua muda wa Mungu ndio muda sahihi, so ukifika muda huo kijana au bint yetu wa kwanza tutampata tu.

Sasa kilichonifanya niandike thread hii, ni kwamba miezi miwili sasa hii shemej yenu ana dalili zote za mimba. Before alikuwa hajawahi kuhisi kichefu chefu chochote ktk maisha yake lakin sasa huwa anahisi kichefu chefu kila wakati na sometimes hutapika kabisa. Mke wang ni mtu ambae alikuwa hawezi kula chakula chochote bila mchuzi kidogo pembeni lkn sasa ivi hata akiona tu mchuzi ndani ya bakuli usipokuwa makini kuwa kuutoa machoni au karibu yake anaweza kutapika hapo hapo, ameanza kuwa na ham ya kula udongo, vitu vyenye ladha kali kama vile limao, ndimu au embe mbichi.

Pia sasa ivi kwenye kula anataka ale vyakula vikavu vikavu mfano samaki awe wa kukaanga, nyama iwe imekaangwa pia. Kuhisi mchoko kila mara na dalili zingine ambazo wataalam husema ni za mimba. Lakini cha kushangaza kila tukipima mimba hola. Tulianza na home test mara 2 tukakuta hola kipimo kinakataa, nikampeleka hospital pia kipimo kinakataa, lakin pia cha kushangaza mwezi uliopita aliona siku zake kama kawaida. Sasa hapo sijui ni nini wakuu!!

Nimeingia huko YouTube nikakutana na mtu anaedai kwamba yye aliwahi kuwa na dalili za mimba kwa muda wa miezi mi3 mfululizo huku akiona siku zake, na vipimo vyote vya nyumbani na hospital vikionesha kuwa hana mimba. Ila anasema alipoingia mwezi wa 4 hapo ndo period yake ikakata na aliporudi hospital tena kupima akaonekana kweli ana mimba. Sasa hili kweli linawezekana wakuu, maana nafaham kwamba mtu mwenye mimba kamwe hawezi kuona siku zake, japo kuna wataalam wanasema sometimes mtu anaweza kuona perido katika ule mwez wa kwanz wa ujauzito na period yenyewe huwa ni ya muda mfupi tu baada ya pale hukata na kukoma kabisa mpaka atapojifungua, sasa hii ya huyu wa miezi mi3 hadi 4 imewezekanaje?

Je kwa mantiki hiyo mke wang na yeye anaweza kuwa miongoni mwa watu wa aina hii kweli?

Tafadhalini naomba msaada wa kiujuzi kuhusu swala hili. Mbarikiwe sana.
Kuna syndrome ila nimeisahau jina...ni kua mtu anayetamani sana kupata mtoto hupata dalili zote za mimba lakini kiuhalisia anakua hana.
Sasa nadhani kwa mkeo itakua iyo kitu...pole mkuu.
 
Kuna syndrome ila nimeisahau jina...ni kua mtu anayetamani sana kupata mtoto hupata dalili zote za mimba lakini kiuhalisia anakua hana.
Sasa nadhani kwa mkeo itakua iyo kitu...pole mkuu.
Niliisikia hii wanaita eti fake pregnancy. Ila sasa kuna mwanamke fulan anadai kwamba yeye pia alikuwa na hili tatizo hadi akawa anahisi ni mimba feki. Lakini baada ya miezi 4 ndo akaja kugundua kwamba ana mimba ya miezi mi4. Ila hapo kabla vipimo vyote vya nyumbani na hospital vilionesha kuwa yeye sio mjamzito.
 

Attachments

  • Screenshot_20241203-065006.jpg
    Screenshot_20241203-065006.jpg
    367.7 KB · Views: 14
Now day nashauri watu kupeana mimba kabla ya kuoana. Kuna mahali itawasaidia sana hii mbinu.
 
Ungekuwa mtu wa imani nngekushauri weka imani hapo na umwambie Mungu hiyo ni mimba na anza kuiombea.
 
Back
Top Bottom