Ivi huyu Ni binadamu kweli[emoji848]

Na asieuliza je??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zuckerberg is a Jewish surname of German origin meaning "sugar mountain".
 
Kifaa Cha kukusanya taarifa za watu na kuziuza kwa jamii fulani I'll zije kutangaza ajenda zao
 
Ni Myahudi, katokea kwa jamii ya wateule.
 


"Kuuliza sio ujinga bali kutojua jambo na ukajua kwamba hujui jambo hilo na ukashindwa kuuliza hapo ndio ujinga"---- hiyo ndio maana ya "kuuliza sio ujinga".
 
Wateule wa kitu gani??!!

Wale ambao mumefundishwa kuwachukia sana.....mumejaribu kuwaua tangu enzi zile ila bado wanaitawala dunia kwa akili zao walivyobarikiwa....hehehe
 
Wale ambao mumefundishwa kuwachukia sana.....mumejaribu kuwaua tangu enzi zile ila bado wanaitawala dunia kwa akili zao walivyobarikiwa....hehehe


Jibu swali; wao ni wateule wa/kwa kitu gani ??!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…