Nilivyomuelewa mleta mada anahisi huyu ni Alien katika umbo la binadamu, kutokana na uwezo wake wa kiakili. Sio kwamba anasura mbaya.Nayeye ukimtumia picha yako atajiuliza "uyu cheusi mangala,black mamba" ni mtu kweli au gunia la mkaa??
BatafesiBinadamu ndiyo
Na asieuliza je??Mkuu kuuliza ni ujinga coz tafsiri ya ujinga ni kutokujua jambo fulani,ukisha lijua hilo jambo basi na ujinga wako unakua umeisha,
So,unapouliza jambo usilolijua ina maana una ujinga kwenye jambo hilo,
Neno ujinga sio tusi wala sio neno baya bali linawasilisha kutokujua jambo.
Sawa sawa mzee wa kusifu na kuabudu mabeberuNayeye ukimtumia picha yako atajiuliza "uyu cheusi mangala,black mamba" ni mtu kweli au gunia la mkaa??
Naona upo katika ubora wako kusifia na kuabudu beberuKiongozi umezoea kuona sura zilizojaa makunyanzi sio
Binadam wa dunia ya kwanza ndio wako hivyo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wewe ukiuliza na ukajua basi ujinga wako unaishia hapo,asiyeuliza yeye anakua anafuga ujinga.
Mtu akikuzidi sio mbaya ukimsifu 😀😀
Eee nasikia mwamba ni Lizard hata huko US watu wengi wanamtilia shakaHe’s a Lizard,robot,Alien 🙂
Nayeye ukimtumia picha yako atajiuliza "uyu cheusi mangala,black mamba" ni mtu kweli au gunia la mkaa??
Mkuu kuuliza ni ujinga coz tafsiri ya ujinga ni kutokujua jambo fulani,ukisha lijua hilo jambo basi na ujinga wako unakua umeisha,
So,unapouliza jambo usilolijua ina maana una ujinga kwenye jambo hilo,
Neno ujinga sio tusi wala sio neno baya bali linawasilisha kutokujua jambo.
Wateule wa kitu gani??!!
Wale ambao mumefundishwa kuwachukia sana.....mumejaribu kuwaua tangu enzi zile ila bado wanaitawala dunia kwa akili zao walivyobarikiwa....hehehe