Ivi huyu Ni binadamu kweli[emoji848]

Ivi huyu Ni binadamu kweli[emoji848]

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2014
Posts
4,298
Reaction score
7,612
.
FB_IMG_1651081844974.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona unapanic sasa kwani Ni wewe huyo kuuliza sio ujinga, ujinga ni kubaki na swali

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuuliza ni ujinga coz tafsiri ya ujinga ni kutokujua jambo fulani,ukisha lijua hilo jambo basi na ujinga wako unakua umeisha,

So,unapouliza jambo usilolijua ina maana una ujinga kwenye jambo hilo,

Neno ujinga sio tusi wala sio neno baya bali linawasilisha kutokujua jambo.
 
Nayeye ukimtumia picha yako atajiuliza "uyu cheusi mangala,black mamba" ni mtu kweli au gunia la mkaa??
 
Back
Top Bottom