......!:d:dkwakeli nimependa sana wazo la kuchangia wahang,lkn kwanini sisi kama wana jf tusikutane leo jioni japo tuanze na mchango wa elfu 5 tu kwa kila mwanachama maana kutoa ni moyo tena ikumbukwe leo ni wao na kesho ni sisi,ni mtazamo wangu tu sijui mna maoni gani wenzangu.
Sawa, pendekeza tukutane wapi na pia upendekeza progamu nzima ya kukutana.
Angalizo: Pawe ni sehemu inayofikika kirahisi kwa kila mtu, awe wa usafiri wa ''public'' au ''private''. Pili, pawe na nyama choma, mishkaki, mchemsho wa samaki na,of course, bia ziwe zinapatikana mahala hapo!
pendekeza basi tukutane wapi,lakini pia ku-organise watu si swala dogo(kwa practical exiperience yangu)
jaribu kuwaomba kaizer,x-pin na fidel80 au G wakusaidie.sijawahi kuona watu wengine wakiorganise meeting zaidi ya hao
Mi napendekeza Break Point (former Posta Club) adjacent Billicana. Ni rahisi kufikika na ni mahali ambapo kila kitakachohitajika kitapatikana. Lakini donee sio 5,000/= jamani kwa nini isianzie 20,000/=? Ni wazo tu..
hehehe!we jaribu kuwa-piemu tu hao watumaybe u can as well tok to those pple,I knw kuoganize watu tena wazima is very difficult,but tukumbuke hawa ni wenzetu so plz as member nakupa ile hiyo kazi si tunagawana majukum?
hehehe!we jaribu kuwa-piemu tu hao watumaybe u can as well tok to those pple,I knw kuoganize watu tena wazima is very difficult,but tukumbuke hawa ni wenzetu so plz as member nakupa ile hiyo kazi si tunagawana majukum?
Mi napendekeza Break Point (former Posta Club) adjacent Billicana. Ni rahisi kufikika na ni mahali ambapo kila kitakachohitajika kitapatikana. Lakini donee sio 5,000/= jamani kwa nini isianzie 20,000/=? Ni wazo tu..
hahahaha!halafu zikishapatikana zinawafikiaje walengwa?
sasa naomba nijue watu serios watakao kuja leo tukutane na no zao za cm tafadhali
1.Pearl
2.
3.
4.