Ivi Kwann isiwe sisi?

Mchango wangu wa kwanza ni kuwaomba wahanga kuacha kiburi wanapoambiwa wasiishi mabondeni

wa pili nitautoa hapo posta club.......Pearl niingize kwenye takwimu!! (samahani kwenye list, No inakuja sasa hivi)
 


nadhani watu ni mchakato wa kutafuta ugali ndio unawabana...
 
jamani naomba majina ya walio serious kukutana leo na kutoa mchango plz

1. Pearl
2. Masaki
3. Nyamayao
4. gkundi
5. Nguli
6. Radical
7.
8.
9.
10.
11. Chrispian

Jazeni hapo katikati ili Chrispian aje tafadhali!
 
sijakata tamaa kiukweli inahitaji mtu wa kujitoa so kama mtu yuko serious hataogopa jina analotumia kama ni feki au nn
Usikate tamaa mapema! Hili linawezekana kabisa!
 
Mungu awabariki
1. Pearl
2. Masaki
3. Nyamayao
4. gkundi
5.
6.
7.
8.
9.
10.
11. Chrispian

Jazeni hapo katikati ili Chrispian aje tafadhali!
 
yewomiii...lol....halafu unajua haupo serious eeh, juzi nilikuomba acc no yako naona mpaka sasa kimya...kulikoni?
kweli?
ngoja nikutumie
si ungenipigia?
 
hiyo sehemu ya kukutania ni api kwa hapa USA???
 
Hii kweli kama ni serious niko TAYARI nitajieni locatsheni nakuja tusiwe watu kulalamika nakuaaaadnika lakini kutenda ni VIHIYO.

Radical ameconfirm kuwepo pia.
 
Duh! Pole sana! Leo jioni tukikutana kwenye harambee ya kuchangia wahanga wa mafuriko, nitakuonyesha kinywaji kisichokuwa na hangover...!!!


natamani ningehuduria lakini ndio hivyo tena, niwakilishe.
 
Tupo pamoja ila jamani kwanini tusifanye ata the following day maana wengine tupo mbali na town halafu hii imepangwa leo na tupo willing kuchangia. Ni wazo tu jamani
 
Njooni Zero Pub mtanikuta kaunta!

Duh nimehangaika kinoma kutafuta hiyo (O-pub) hapa BOSTON (USA) sijapapata bado, au mnamaanisha wa ughaibuni wako Xcused kwa jambo hili????.........
 
MIE NAOGOPA KUONYESHA SURA 😉
Mzee MM ameshatupa ile namba tunachangia kupitia hapo
 
Hapana! WATU NI WAOGA!

uoga wa nn sasa, kwamba jinc anavyokusoma humu anash2ka tu kukuona...lol, kazi ipo kama ndio hivyo! halafu Masaki mie ctaweza kuhudhuria, nipo mbali laaziz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…