Heee ali kiba ndo analibandua hili maza.?mtoto ana laana yule jamani
Duh kama kweli Dogo A.K ndo ana kula masoseji ya huyu Mazaritaaa wapi TAMWA, LHRC, TAWLA kufungua Kesi ya Ukatili wa Kijinsia?
Umenifanya nicheke bila kutarajia!!
Age is just a Namba...
Mbona kuna k-Lyn anagegedwa na Mzee Mengi?
Au laana ukiliparamia jimama tu?