Ivi madame Ritha alipataga ajali ya nini?

Ivi madame Ritha alipataga ajali ya nini?

Status
Not open for further replies.
acheni hizo kuponda watu na mapenzi yao. tofauti ya umri sio kigezo cha mtu kumpenda mwingine.
Kama mioyo imeridhiana ukubwa au udogo wa umri havina nafasi katika hisia za mtu.
K-lyn na Chairman wako juu.
Madam na Akiba nao nawafagilia mbaya!
Mko juuuuuuuu!
 
Haswa madam sipati picha ana enjoijee? Kapata bonge ya handsome, aaf anajiheshimu hana skendoz kama visupastaa vingine uchwara hapa town
 
Heee ali kiba ndo analibandua hili maza.?mtoto ana laana yule jamani

hakuna cha laana wala nini? ni mapenzi tuu! unavomuita mama kwani kakuzaa wewe? acha ushamba lolest
 
ALI K..........................Usinisemee usiniseme kama napenda kula!
 
Vile viuno vya A.K mnavyovipo pale anapokatika,ndvyo Ritha kavipenda.
 
Msinisemeeeee msiniseeee kamanapenda mmama lol kamua mkuuuu

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom