Ivi ntaweza kweli kuishi maisha ya chuo kwa kiasi hki cha pesa?

Ivi ntaweza kweli kuishi maisha ya chuo kwa kiasi hki cha pesa?

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Wakuu,ebu nishaurini kidogo hapa,mimi kikweli ckuapply mkopo kule heslb kutokana na sababu ninazozijua mwenyewe,sasa ishu iko hvi,mshua kanambia atakua ananitumia tsh 150000 kila mwisho wa mwezi kama pesa ya kula na matumizi mengne madogo madogo hapo chuo,naomba mnipe ushauri jaman,ntaweza kweli kusurvive kila mwezi kwa pesa hyo na ukizngatia maisha yenyewe ni ya udsm,maana nackia maisha ya hapo dar sio mchezo?
 
We kwann una wasiwasi hazitakuyosha? Whats ur budget and expected expenses mpaka uone hazitoshi?
Plus maisha ni kujiongeza..ukiona hazitoshi piga mishe mjini hapa usije na jembe akili yako tu. Ila mishe halali maana bw. Polisi atakushughulikia.
 
Last edited by a moderator:
mbona unasurvive fresh tu. RB 1000x2=2000,usafiri shato 600,maji ya kudownload,chai 500,vocha 500 ;total 3600/- STAREHE 1400/- jumla 5000/-
 
mbona unasurvive fresh tu. RB 1000x2=2000,usafiri shato 600,maji ya kudownload,chai 500,vocha 500 ;total 3600/- STAREHE 1400/- jumla 5000/-

Wala usimwekee shato..mwaka wa kwanza wanapewa vyumba chuoni.
 
Kama una nia ya kusoma utasurvive too kama vp ongea nae umueleze ukweli wa maisha ya dar.
 
mbona unasurvive fresh tu. RB 1000x2=2000,usafiri shato 600,maji ya kudownload,chai 500,vocha 500 ;total 3600/- STAREHE 1400/- jumla 5000/-

Punguza hiyo bajet ya starehe iwe 400 hiyo buku (1000) atatolea copy handouts na ku~print asigments...
 
Wakuu,ebu nishaurini kidogo hapa,mimi kikweli ckuapply mkopo kule heslb kutokana na sababu ninazozijua mwenyewe,sasa ishu iko hvi,mshua kanambia atakua ananitumia tsh 150000 kila mwisho wa mwezi kama pesa ya kula na matumizi mengne madogo madogo hapo chuo,naomba mnipe ushauri jaman,ntaweza kweli kusurvive kila mwezi kwa pesa hyo na ukizngatia maisha yenyewe ni ya udsm,maana nackia maisha ya hapo dar sio mchezo?

inatosha sana...ila inategemea..io laki unusu ya chakula 2 ama ad na mengne? Kama ndo msoc na kutoa kopi cjui,dah..utasanda! Jipange mapema,manake kuna asgments,madesa ya kutoa kopi kila kozi..! Msos ata 3500,kwa cku unajikaza inatosha...usiku unashindia mihogo pale kariakoo....nweys,utaenda utajioneaa! Was thea 2008-2012
 
hiyo hela ni nyingi sanah kama utakuwa si mtu wa starehe ila kama utajifunzia pombe na mademu chuoni kamwe haiwez kukutosha na lazima utasanda tu!! kwa hiyo cha msingi jipange then jitambue!!
 
kama utaishi main campus itatosha but mabibo itakuwa kibishi zaidi...
 
haitosi hiyo pesa photocopy zina gharama sana chuo na kuna michango ya hapa na pale labda 250,000.Nafanya masters udsm nimeacha hata kununua nguo unajua wanawake tunavyopenda kuvaa.kwa sababu najilipia najibana sana na nimegundua laki tatu natumia kila mwezi na hapo sometimes sili.
 
haitosi hiyo pesa photocopy zina gharama sana chuo na kuna michango ya hapa na pale labda 250,000.Nafanya masters udsm nimeacha hata kununua nguo unajua wanawake tunavyopenda kuvaa.kwa sababu najilipia najibana sana na nimegundua laki tatu natumia kila mwezi na hapo sometimes sili.


kweli ,yan apo laki unusu..atasanda
 
Back
Top Bottom