Ivi ntaweza kweli kuishi maisha ya chuo kwa kiasi hki cha pesa?

Vipi kuhusu photocopy za siku hiyo,mwanafunzi aliyefiwa kumchangia?Nyie achane jamani
 

Huu ushauri nimeupenda...
 
mbona unasurvive fresh tu. RB 1000x2=2000,usafiri shato 600,maji ya kudownload,chai 500,vocha 500 ;total 3600/- STAREHE 1400/- jumla 5000/-
Mkuu hapo kwenye RB mwenzio atadhani ni music. afu je ni KE au ME,!!?
 
Sasa wewe unahisi haitoshi laki unusu eh? Kuna mwalimu analipwa hela hiyo na cwt wanakata yao, wanasaidiwa na nhif! Afu ana mke, watoto na nyumba ndogo, anapigwa mizinga na wazazi wake, mashemeji na hata ndugu zake! Hapo anaishi nyumba ya kupanga, anakopa kununua baiskeli ama pikipiki!
 
Wakuu,asanten kwa wote mlonipa ushauri wenu,infact me ni mtoto wa kiume ntakomaa 2!
 
Wakuu,asanten kwa wote mlonipa ushauri wenu,infact me ni mtoto wa kiume ntakomaa 2!

Futa hiyo mtoto..watoto wananyonya saizi!
zen...bold...dats the spirit utatoka tu dogo ali mradi usijilinganishe na wenzio wa matawi.
 
Futa hiyo mtoto..watoto wananyonya saizi!
zen...bold...dats the spirit utatoka tu dogo ali mradi usijilinganishe na wenzio wa matawi.

yeah afu company ya ajabu inaua, kila siku mate unaona anachange usafiri na viwalo. Ukijichanganya 2 wakat ww mwenze2 na mie umeumia.
 
mmmmmmh napata wacwac na chuo jamani da kama maisha ndo hvyo!!!!!!!!!!!!
 
Komaaa Kiume Mwana Pesa Nying Sana! Anasa Sio Mpango Mbna Hivyo V2 2tavkuta!
 
Aiseee babaangu ningekushauri kama ningejua jinsia yako

ngoja nipate mbege hapa
 
PESA NYINGI SANA MWAMBIE APUNGUZE ASEE AKUPE HATA 50000 KWA MWEZI then kama ni mkristo uwe unafunga
 
mmmmmmh napata wacwac na chuo jamani da kama maisha ndo hvyo!!!!!!!!!!!!

acha izo wewe kasome mengine utayakuta baadae asee ila uwe makini utozi utakufanya ufe na njaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…