Ivi ujauzito huanza kujitokeza au kuonekana baada ya muda Gani

Ivi ujauzito huanza kujitokeza au kuonekana baada ya muda Gani

Kifaru86

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2017
Posts
1,734
Reaction score
3,822
Wakuu ningependa kufahamu mwanamke akipata ujauzito tumbo lake huanza kuonekana baada ya muda gani kubwa

Nauliza kwa maana kuna mahala tiyali mtoto wa mtu kabeba ujauzito wangu
 
Wakuu ningependa kufahamu mwanamke akipata ujauzito tumbo lake huanza kuonekana baada ya muda gani kubwa

Nauliza kwa maana kuna mahala tiyali mtoto wa mtu kabeba ujauzito wangu

Hutegemea na umbo la mtu, kuna wengine hadi miezi 9 unaweza usigundue...

Kama mchuchu wako hana kitambi cha makande, basi kuanzia miezi 3 hapo kifriji kitaanza kuonekana...
 
Wengine miezi miwili tumbo limevimba.. wengine mpaka miezi saba ,nane etc
 
hiyo mimba ionekane wapi
ukitaka kuiona hata baada ya wiki mbili unaiona
 
Hesabu kwenye hiyo picha.Kuna miezi mitatu ya kwanza,ya pili na ya tatu.
women-pregnancy-stages-vector-image-pregnant-.jpg
 
Back
Top Bottom